Wajuzi kuhusu logo tafadhali

Wajuzi kuhusu logo tafadhali

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Leo nimetazama mechi ya klabu bingwa Africa kati ya Al Ahly vs Mamelodi sundowns hawajavaa logo yeyote ya mdhamini mkuu wa mashindano yaani CAF,je?logo hizi wanavaa tu baadhi ya timu ama kuna makubaliano maalumu kwa timu maalumu?
 
Back
Top Bottom