Wajuzi mje kutuambia, kuna shida gani Bandarini maana tangu wamekuja DP World ni majanga na sio amani tena

Wajuzi mje kutuambia, kuna shida gani Bandarini maana tangu wamekuja DP World ni majanga na sio amani tena

Kuli Msomi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
266
Reaction score
625
Wakuu tangu Waingine DP World ni kama kero imekua kubwa kwa wafanya biashara gharama za uchuuzi wa kontena zipo juu sana mpaka inashangaza.

Na Kontena zinachukua muda mrefu sana kupita kiasi Wakuu shida nini? Je, ni sera mbovu za kiabiashara za serikali ukijumlisha na gharama au?

Je, Serikari inafanya njia gani kutatua hilo tatizo maana sasa sio kawaida, Mambo mengi waliyokua wakiyasema kuhusu DP world ikija yatabadilika na kuwa rahisi
Nashangaa imekua kinyume chake kulikoni?

Hio sio kawaida ukilinganisha na mataifa ya wenzetu tunayoshea nayo bahari ya hindi . Je Tanzania kuna shida gani?

Soma===> Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%
 
Mbona mafanikio yapo mkuu hukuona meli iliyobeba makasha 3000 imetia nanga
 
Wakuu tangu Waingine DP World ni kama kero imekua kubwa kwa wafanya biashara gharama za uchuuzi wa kontena zipo juu sana mbaka inashangaza !!??!!

Na Kontena zinachukua muda mrefu sana kupita kiasi Wakuu shida nini ?? Je ni sera mbovu za kiabiashara za serikali ukijumlisha na gharama au ?!

Je Serikari inafanya njia gani kutatua ilo tatizo maana sasa sio kawaida, Mambo mengi waliyokua wakiyasema kuhusu dp world ikija yatabadilika na kua rahisi NASHANGAA IMEKUA KINYUME CHAKE KULIKONI ???!!!

SIO KAWAIDA UKILINGANISHA NA MATAIFA YENZETU YA KALIBU TULIYOSHEA NAYO BAHARI YA HINDI . JE TANZANIA KUNA SHIDA GANI ??!
Ngoja waje chawa wa mama wasema anaupiga mwingi
 
Hiyo bandari Kwa Sasa ndiyo imekuwa na utendaji kazi mbovu sana na imekuwa ni Bora kipindi kile kabla ya Hawa dp world hawajafika.Wabunge wote waliwasifia sana hawa dp world lakini matokeo yake tunaona ni zero kabisa
 
Hiyo bandari Kwa Sasa ndiyo imekuwa na utendaji kazi mbovu sana na imekuwa ni Bora kipindi kile kabla ya Hawa dp world hawajafika.Wabunge wote waliwasifia sana hawa dp world lakini matokeo yake tunaona ni zero kabisa

Inastahajabisha sana aya mambo yanakera sana cjui kama taifa tunatatizo katika kusimamia mambo vyema [emoji56]
 
Back
Top Bottom