Kuli Msomi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 266
- 625
- Thread starter
- #21
Mbona mafanikio yapo mkuu hukuona meli iliyobeba makasha 3000 imetia nanga
Ayo sio mambo ya kutuambia ni mafanikio acha tu tuisome namba lakini tunachoshwa aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mafanikio yapo mkuu hukuona meli iliyobeba makasha 3000 imetia nanga
Hivi vile vyura vya kihansi vilirudi toka marekani kwamaana gharama za kuwahudumia zilikuwa juu yetu tena kubwaWakuu tangu Waingine DP World ni kama kero imekua kubwa kwa wafanya biashara gharama za uchuuzi wa kontena zipo juu sana mpaka inashangaza.
Na Kontena zinachukua muda mrefu sana kupita kiasi Wakuu shida nini? Je, ni sera mbovu za kiabiashara za serikali ukijumlisha na gharama au?
Je, Serikari inafanya njia gani kutatua hilo tatizo maana sasa sio kawaida, Mambo mengi waliyokua wakiyasema kuhusu DP world ikija yatabadilika na kuwa rahisi
Nashangaa imekua kinyume chake kulikoni?
Hio sio kawaida ukilinganisha na mataifa ya wenzetu tunayoshea nayo bahari ya hindi . Je Tanzania kuna shida gani?
Soma===> Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%
chura kiziwi mimiWakuu tangu Waingine DP World ni kama kero imekua kubwa kwa wafanya biashara gharama za uchuuzi wa kontena zipo juu sana mpaka inashangaza.
Na Kontena zinachukua muda mrefu sana kupita kiasi Wakuu shida nini? Je, ni sera mbovu za kiabiashara za serikali ukijumlisha na gharama au?
Je, Serikari inafanya njia gani kutatua hilo tatizo maana sasa sio kawaida, Mambo mengi waliyokua wakiyasema kuhusu DP world ikija yatabadilika na kuwa rahisi
Nashangaa imekua kinyume chake kulikoni?
Hio sio kawaida ukilinganisha na mataifa ya wenzetu tunayoshea nayo bahari ya hindi . Je Tanzania kuna shida gani?
Soma===> Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%
Anataka kukwepa kodi, lakini DP WORLD wamekaza!Umekwama wapi???
Kutua nanga kwa meli yenye makasha mengi siyo hoja ya msingi, malalamiko ni gharama zilizozidi kwa sasa baada ya DP World kuanza kutoa huduma soma Uzi na kuelewaMbona mafanikio yapo mkuu hukuona meli iliyobeba makasha 3000 imetia nanga
Anataka kukwepa kodi, lakini DP WORLD wamekaza!
Ahahahahaha!!Wewe ni mtoto mdogo sana wa shule tulia ukikua ndio utaelewa kwanini watu wazima tunaongea ivi ....Kalale uko allaah!!!