Wajuzi mje kutuambia, kuna shida gani Bandarini maana tangu wamekuja DP World ni majanga na sio amani tena

Wajuzi mje kutuambia, kuna shida gani Bandarini maana tangu wamekuja DP World ni majanga na sio amani tena

Mbona mafanikio yapo mkuu hukuona meli iliyobeba makasha 3000 imetia nanga

Ayo sio mambo ya kutuambia ni mafanikio acha tu tuisome namba lakini tunachoshwa aisee
 
Wakuu tangu Waingine DP World ni kama kero imekua kubwa kwa wafanya biashara gharama za uchuuzi wa kontena zipo juu sana mpaka inashangaza.

Na Kontena zinachukua muda mrefu sana kupita kiasi Wakuu shida nini? Je, ni sera mbovu za kiabiashara za serikali ukijumlisha na gharama au?

Je, Serikari inafanya njia gani kutatua hilo tatizo maana sasa sio kawaida, Mambo mengi waliyokua wakiyasema kuhusu DP world ikija yatabadilika na kuwa rahisi
Nashangaa imekua kinyume chake kulikoni?

Hio sio kawaida ukilinganisha na mataifa ya wenzetu tunayoshea nayo bahari ya hindi . Je Tanzania kuna shida gani?

Soma===> Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%
Hivi vile vyura vya kihansi vilirudi toka marekani kwamaana gharama za kuwahudumia zilikuwa juu yetu tena kubwa
 
Wakuu tangu Waingine DP World ni kama kero imekua kubwa kwa wafanya biashara gharama za uchuuzi wa kontena zipo juu sana mpaka inashangaza.

Na Kontena zinachukua muda mrefu sana kupita kiasi Wakuu shida nini? Je, ni sera mbovu za kiabiashara za serikali ukijumlisha na gharama au?

Je, Serikari inafanya njia gani kutatua hilo tatizo maana sasa sio kawaida, Mambo mengi waliyokua wakiyasema kuhusu DP world ikija yatabadilika na kuwa rahisi
Nashangaa imekua kinyume chake kulikoni?

Hio sio kawaida ukilinganisha na mataifa ya wenzetu tunayoshea nayo bahari ya hindi . Je Tanzania kuna shida gani?

Soma===> Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%
chura kiziwi mimi
 
Mbona mafanikio yapo mkuu hukuona meli iliyobeba makasha 3000 imetia nanga
Kutua nanga kwa meli yenye makasha mengi siyo hoja ya msingi, malalamiko ni gharama zilizozidi kwa sasa baada ya DP World kuanza kutoa huduma soma Uzi na kuelewa
 
Back
Top Bottom