Wajuzi wa biashara wa maeneo haya, nipeni mbili tatu!

Wajuzi wa biashara wa maeneo haya, nipeni mbili tatu!

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Habari za mchana wana JamiiForums na wapenzi wa jukwaa la Biashara na Ujasiriamali.

Nimekuja kwenu kuomba ushauri na sitaki kuwachosha, naenda moja kwa moja kwenye mada.

Haya wanajamvi, ndugu yenu naondoka hapa Dar es Salaam naingia mkoani kwa shughuli za utafutaji. Naombeni ushauri kati ya sehemu zifuatazo sehemu ipi ni nzuri kibiashara: kwa biashara za mtaji mdogo na vibarua vya hapa na pale.

1. Katoro
2. Masasi
3. Mufindi
4. Njombe mjini
5. Mafinga
6. Igunga

Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote.
 
Achana na hiyo mikoa ya nyanda za juu kusini
 
Kila la kheri na ngoja waje kukupa miongozo...
 
Habari za mchana wana JamiiForums na wapenzi wa jukwaa la Biashara na Ujasiriamali.

Nimekuja kwenu kuomba ushauri na sitaki kuwachosha, naenda moja kwa moja kwenye mada.

Haya wanajamvi, ndugu yenu naondoka hapa Dar es Salaam naingia mkoani kwa shughuli za utafutaji. Naombeni ushauri kati ya sehemu zifuatazo sehemu ipi ni nzuri kibiashara: kwa biashara za mtaji mdogo na vibarua vya hapa na pale.

1. Katoro
2. Masasi
3. Mufindi
4. Njombe mjini
5. Mafinga
6. Igunga

Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote.
igunga na katoro ni pazuli tatizo miaka hii **** kumbwa na ukame sana hizo sehemu nyingine sawa mfindi kuna mzunguko wa mbao na miti njombe kilimo cha viazi mvilingo
 
Njombe mjini kuna watu wengi ukilinganisha na maeneo mengine.....
Watu wengi ni sambamba na biashara kufanyika kwa wingi ni wewe tu mkuu.
 
Back
Top Bottom