Lorenzo1
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 530
- 641
Habari Wakuu,
Leo nimekuja hapa na ishu moja. Katika harakati zangu za kujichanga nategemea kupata kahela kidogo kama 9 - 10 m hivi.
Sasa nimeona sio mbaya kama nikawa na kausafiri kangu kakuzugiaa. Katika kucheki gari nikatokea kuipenda sana Toyota Premio. Kucheki bei nikaona zinacheza 13+ mpaka 14 kwingne mpaka 15.
Sasa nataka nichukue iliyokwisha tumika hapa bongo lakini kwa mtu au dealer anayeaminika.
Nimekuja hapa Mnisaidie mambo mawili. Kwanza kwa yeyote mwenye uelewa wa hii gari ya premio, shida zake na changamoto zake kwa ujumla. Pili kama kuna mtu yeyote au dealer wa kuaminika ambaye nitaweza kumtumia nivute iyo gari lakini ikiwa used Maana bajeti kwa sasa sina.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Premio
Leo nimekuja hapa na ishu moja. Katika harakati zangu za kujichanga nategemea kupata kahela kidogo kama 9 - 10 m hivi.
Sasa nimeona sio mbaya kama nikawa na kausafiri kangu kakuzugiaa. Katika kucheki gari nikatokea kuipenda sana Toyota Premio. Kucheki bei nikaona zinacheza 13+ mpaka 14 kwingne mpaka 15.
Sasa nataka nichukue iliyokwisha tumika hapa bongo lakini kwa mtu au dealer anayeaminika.
Nimekuja hapa Mnisaidie mambo mawili. Kwanza kwa yeyote mwenye uelewa wa hii gari ya premio, shida zake na changamoto zake kwa ujumla. Pili kama kuna mtu yeyote au dealer wa kuaminika ambaye nitaweza kumtumia nivute iyo gari lakini ikiwa used Maana bajeti kwa sasa sina.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Premio