Ndo mpendanage sasa halafu kila siku kanisani na bibilia mpya. Mungu sio mmakonde.Daah kweli historia ni mwalimu mzuri Sana. Hivi Yuko wapi Mzee huyu wa kuchakata wenzake kwa fimbo na rungu la Kigogo?
Mwache mzee wa watu apumue msimwandame mwenyewe aliona IPO sababu ya kutubu bado tu hamjamsamehe wajameni⛹️.Daah kweli historia ni mwalimu mzuri Sana. Hivi Yuko wapi Mzee huyu wa kuchakata wenzake kwa fimbo na rungu la Kigogo?
Yupo UghaibuniDaah kweli historia ni mwalimu mzuri Sana. Hivi Yuko wapi Mzee huyu wa kuchakata wenzake kwa fimbo na rungu la Kigogo?