Wajuzi wa hisabati naombeni jawabu

1. Kwa kuwa ktk kila mbao moja kuna matundu 9 ila ktk kila tundu kuna panya 9 ambao nao wana watoto 9 kila mmoja hii inafanya kila tundu kuwe na panya kumi
2hivyo basi 10×10×10×9=9000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una akili sana wewe!nimetumia muda kuipata hiyo moja unayo add unaitoa.Nimekuja kuigundua na kucheka mwenyewe.Maths is about tricks!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hata wewe bado umeingia mkenge...

Swali linasema kila tundu lina panya mmoja. Hakuna iliposemwa panya na watoto wake wako kwenye tundu....

Trick ya hili swali ni: kila tundu lina panya mmoja. Sasa watu wanachemka kuwahusisha watoto wa panya wakati hawajaambiwa kama wako kwenye matundu
 
1. Kwa kuwa ktk kila mbao moja kuna matundu 9 ila ktk kila tundu kuna panya 9 ambao nao wana watoto 9 kila mmoja hii inafanya kila tundu kuwe na panya kumi
2hivyo basi 10×9×9=810

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaambiwa kila tundu lina panya mmoja... hapo ndipo kwenye mtego wa hili swali
Na panya mmoja ana vitoto 9 ...jumla 10 panya times na matundu 9 inaletaa 90

Babu nakuonaa tu
 
Na panya mmoja ana vitoto 9 ...jumla 10 panya times na matundu 9 inaletaa 90

Babu nakuonaa tu
Shida iko hapo sasa. Ushaambiwa shimo moja lina panya mmoja. Aliyekuambia watoto wa panya wako shimoni ni nani?

Hesabu is all about following instructions...

Hahahah sivumi lakini nimo
 
Shida iko hapo sasa. Ushaambiwa shimo moja lina panya mmoja. Aliyekuambia watoto wa panya wako shimoni ni nani?

Hesabu is all about following instructions...

Hahahah sivumi lakini nimo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babu kuwa siliasii nimerudia kusoma....

Ila umechanganya na siasa kwa ndaniii

Sasa na mm nabisha watoto wanakaa na mama yao kwenye matundu


Nakuona humo lakin
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babu kuwa siliasii nimerudia kusoma....

Ila umechanganya na siasa kwa ndaniii

Sasa na mm nabisha watoto wanakaa na mama yao kwenye matundu


Nakuona humo lakin
Swali linasema KILA TUNDU LINA PANYA TISA! Hapo ndipo mtego ulipo... swali halijasema watoto wa panya wako kwenye shimo.
 
Reactions: Lee
Swali linasema KILA TUNDU LINA PANYA TISA! Hapo ndipo mtego ulipo... swali halijasema watoto wa panya wako kwenye shimo.
Wewe babu ndo maana bibi alikutema kwa ubishii wakooo...[emoji23] [emoji23] [emoji57] [emoji23]

Lakini mwendelezo wa swali kuna kiunganishi tatiziii ....(na) kila panya (ana )
 
Wewe babu ndo maana bibi alikutema kwa ubishii wakooo...[emoji23] [emoji23] [emoji57] [emoji23]

Lakini mwendelezo wa swali kuna kiunganishi tatiziii ....(na) kila panya (ana )
Assuming, panya hawezi kuwa tunduni mwenyewe! Watoto watakuwa wapi? Kwenye kichuguu?
 
Assuming, panya hawezi kuwa tunduni mwenyewe! Watoto watakuwa wapi? Kwenye kichuguu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa mkuu mbona unatutoa kwenye Math na kutupeleka civics ....

Kichuguu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe babu ndo maana bibi alikutema kwa ubishii wakooo...[emoji23] [emoji23] [emoji57] [emoji23]

Lakini mwendelezo wa swali kuna kiunganishi tatiziii ....(na) kila panya (ana )
Ewaaa... kuna tofauti kubwa sana ya hizi herufi "na" na "ana"

Mi na wewe tunaweza tukawa bar. Na sisi kila mtu ana watoto wawili. Hii haimaanishi bar tuko watu 6... right? Maana waweza kuta watoto wetu wako shule

Hesabu haijawahi kukuacha salama... hahahaha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Babu kuwa silias kwa sekunde bhasi ....

Mfano huo huo mfano tuko bar mm na wewe na kila mmoja "ana" bia tatu za kilimanjaro ....jumla tuna bia ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…