jameson567
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 536
- 3,289
Watanzania mnashangaza sana, hata ku Google hamuwezi!?,nenda Google halafu urudi hapa uelezee tena ulichoandika. Ndo maana hadi ma professor wenu na ma lecturer vyuoni hawajui kiingereza. Sababu ya ubishi.Unatumia "the" ukiwa tayari unacho ulichokilenga kama hauna ulichokilenga unatumia "law".
Sikulazimishi kukubaliana na mimi kwani tayari umeonesha dharau kwenye jambo tusilo bishana bali kueleweshana.
Kwenye mjadala ukimuambia mwenzako mjinga au chizi kutokana na wazo lake ukiamini wewe ndiye unayejua zaidi kuliko wote kwenye kundi, basi haufai kuwemo kundini.
Ungejua lugha na matumizi yake haujifunzi kwa kugugo usingeandika ulichokiandika, hata hivyo kunamwingine humu amelalamikia dharau zako mr. Jameson, unanifanya niwe na mashaka na "Jameson" kinywaji nikipendacho.Watanzania mnashangaza sana, hata ku Google hamuwezi!?,nenda Google halafu urudi hapa uelezee tena ulichoandika. Ndo maana hadi ma professor wenu na ma lecturer vyuoni hawajui kiingereza. Sababu ya ubishi.
Hahaha relax kiongozi, lugha yenyewe imeletwa na meli😁Ungejua lugha na matumizi yake haujifunzi kwa kugugo usingeandika ulichokiandika, hata hivyo kunamwingine humu amelalsmikia dharau zako mr. Jameson, unanifanya niwe na mashaka na "Jameson" kinywaji nikipendacho.
Ndo shida akili ya mwafrika,, ni kusifia vya ugaibuni kila sekunde 😡😡,hayo ni makosa ya kiuchapaji ambayo yanaweza kutokea kwa lugha yoyote ile.
Ila kwasababu ww ni mtumwa wa kizungu ndio maana umeona kama vile kosa la mauaji[emoji1787]
Weeeee..!! Siyo kweli, makosa ya kwenye kiswahili nayo watu wanasema nayo hatari. Kwani hujapitia ule uzi wa ULISI, YAULIS, HAJARIPA ADA, WATAZALILIKA..!!?? Tiririka na uzi huo hapa chiniJF hua hawakosoi sana inapokosewa lugha ya Kiswahili ila ukikosea lugha ya mkoloni,utawaona mpaka wazungu wa Nzega wanakuja kwa spidi ya sauti kukutolea povu.
Hili ni gazeti la lugha ya kiingereza la leo 12/09/2023 kutoka Tanzania!
Kichwa cha habari ni sahihi? Najua ujumbe kusudiwa umefika! Najua ni makosa ya kibinaadamu! Tatizo wakenya wataanza nongwa!
View attachment 2746445
Hatari sana hii!
No one is above law, no one is above the law, no freedom that is exercised freely without limits, all kinds of freedoms have some boundaries, language error is always excusable.