Asante kwa taarifa, so inaonekana ni kigari flan korofi auMkuu, hiko kinaitwa Smart Fortwo Passion 2nd generation hiyo ya 2009 nadhani. Engine cc 1000 piston 3 (engine ni ya Mitsubishi).
Kuna maza mmoja alikua nako, kila siku kakawa na shida kaliwajua mafundi kama 30 hivi hapa mjini. Sahivi kapo kwao amenunua tu IST.
Na vipi hukubahatika kujua Bei yake kwa hapa bongo na wap vinapatikanaMkuu, hiko kinaitwa Smart Fortwo Passion 2nd generation hiyo ya 2009 nadhani. Engine cc 1000 piston 3 (engine ni ya Mitsubishi).
Kuna maza mmoja alikua nako, kila siku kakawa na shida kaliwajua mafundi kama 30 hivi hapa mjini. Sahivi kapo kwao amenunua tu IST.
Unataka umpe dogo akimaliza std 7 au utembelee wewe?Na vipi hukubahatika kujua Bei yake kwa hapa bongo na wap vinapatikana
Utembelee huto tugari twa mtoto? Kuwa serious mkuu ukiona gari ina studs 4 kushuka chini jua ni gari ya kiwango cha chini. Hicho ni mfano halisi wa bebiwoka with 3 studs!Hahahaha [emoji1787] nataka ntembelee aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii bora kutembea na miguu au kununua mandolini ya 1989Kuna hii gari nimeiona mahali, naomba anaejua jina la hili gari na ikipendeza naomba kujua Bei yake kwa hapa bongo na wap vinapatikana. Natanguliza shukran View attachment 2286297
Bora kuchapa lapa kuliko hii toyUtembelee huto tugari twa mtoto? Kuwa serious mkuu ukiona gari ina studs 4 kushuka chini jua ni gari ya kiwango cha chini. Hicho ni mfano halisi wa bebiwoka with 3 studs!
Gari za maana zinaanzia 5 studs mpaka 6 hapo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio maanake yani. We hesabu nati za gari tu kama gari yako inatumia nati 4 au chini ya hapo tafta hela ya gari mkuu. Hio ni bebi wokaBora kuchapa lapa kuliko hii toy