FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Wapendwa Nina milioni 12, ila nashindwa kufanya maamuzi, ninunue aina ipi ya gari na rangi ipi nzuri, wenye uzoefu mnaojua ambalo halili mafuta na siyo la kuchoka haraka.
Asanteni.
Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauriChukua hii View attachment 1504683
Mkuu nadhani gari ambazo hazili mafuta hazijafika hapa nchini.Wapendwa Nina milioni 12,ila nashindwa kufanya maamuzi,ninunue aina IPI ya gari na rangi IPI nzuri,wenye uzoefu mnaojua ambalo halili mafuta na siyo LA kuchoka haraka.asanteni.