Wajuzi wa haya mambo msaada tafadhali, najua kuna madereva na wabobezi wengi humu maana Youtube hainipi jibu sahihi ambalo ni udumu(reliability) na ulaji wa mafutaView attachment 1671789View attachment 1671790View attachment 1671791View attachment 1671792View attachment 1671793
Ndugu, volvo ipe nafasi ya mwisho. 1 actors 2 scania 3 daf mwisho volvoInaanza volvo, inafuatia scannia alafu man hao wengine sijawah kuwafuatilia
420 toleo lipi? P au R?Scannia 420 for durability and reliability
Ndugu, volvo ipe nafasi ya mwisho. 1 actors 2 scania 3 daf mwisho volvo
P420 toleo lipi? P au R?
Haya mkuujamaa sio kweli mzee
Ndugu, volvo ipe nafasi ya mwisho. 1 actors 2 scania 3 daf mwisho volvo
Nina uzoefu wa magari wa zaidi ya miaka 20. Volvo si gari. Unaweza pata hata ya million 8. Tafuta actors mp2 ya million 20 kama utapata. Prime fuel anauza mp2 zilizo choka kwa usd 12000.mkuu usisikilize maneno ya watu, the most powerfull lorry kutokana na magari ulioyataja ni Volvo FH16 View attachment 1671848
Na chuma yenyewe ndio hiyo apo
Benz Actros ndo kiboko ya yote. Chuma cha MjerumaniWajuzi wa haya mambo msaada tafadhali, najua kuna madereva na wabobezi wengi humu maana Youtube hainipi jibu sahihi ambalo ni udumu(reliability) na ulaji wa mafutaView attachment 1671789View attachment 1671790View attachment 1671791View attachment 1671792View attachment 1671793
Nina uzoefu wa magari wa zaidi ya miaka 20. Volvo si gari. Unaweza pata hata ya million 8. Tafuta actors mp2 ya million 20 kama utapata. Prime fuel anauza mp2 zilizo choka kwa usd 12000.