Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Power= fuel consumption, namaanisha udumumkuu usisikilize maneno ya watu, the most powerfull lorry kutokana na magari ulioyataja ni Volvo FH16 View attachment 1671848
Na chuma yenyewe ndio hiyo apo
Ulaji wa mafuta haupimwi hivyo ni litter per kilometers or gallon per milesUlaji wa mafuta ukoje mfano kutoka dsm mpaka mwanza
Nipe link mkuu
Nipe link mkuu
Kwanini Volvo iwe ya Mwisho mkula? Scania na Volvo zote ni mashine za Msweden and Volvo iko juu kwa quality dhidi ya Scania.Ndugu, volvo ipe nafasi ya mwisho. 1 actors 2 scania 3 daf mwisho volvo
Actros zina utumiaji mzuri wa mafuta, lakini zinataka matunzo hasa na spare genuine.Nina uzoefu wa magari wa zaidi ya miaka 20. Volvo si gari. Unaweza pata hata ya million 8. Tafuta actors mp2 ya million 20 kama utapata. Prime fuel anauza mp2 zilizo choka kwa usd 12000.
Nadhan anaongelea 124 mzee, 420 ni hp za gar420 toleo lipi? P au R?
Niliiona horse ya fuso majuz nikiwa iyunga alaf unaenda transit ko mashine inaonekana ni heavy duty koz ni Kama Ina reduction hubIko vzr sema ni ndogo
Mitsubishi Fuso FZ, ni za KT ABDI. Hizo zina mashine kubwa na zinafanya trip za transit, zinavuta tela za flat bed zenye kontena.Niliiona horse ya fuso majuz nikiwa iyunga alaf unaenda transit ko mashine inaonekana ni heavy duty koz ni Kama Ina reduction hub
@Bujibuji ulianzisha mada pendwa ya mambo haya,tunaomba majibuUlaji wa mafuta haupimwi hivyo ni litter per kilometers or gallon per miles
Mkuu Scania ipo vizuri zaidi sasa hivi iliyopo njiani nimeona G 460 ni kiboko nimeenda hapo wanapouza used ni rand 700,000 ya 2016 hiyo ni truck...hizo Actross tuachane nazo tutumie zilizopo nyingi kwetu ingawaje huyo mjerumani ana balaa zaidi...Scania haiwezi kukutupa hata upate R 420 inategemeana na kazi zako na iwe ya miaka ya karibuni tuu usinunue chakavu mno...Kwanini Volvo iwe ya Mwisho mkula? Scania na Volvo zote ni mashine za Msweden and Volvo iko juu kwa quality dhidi ya Scania.
Ukiachilia hawa magwiji wa ma heavy-duty trucks ndio unakuja kwa hao wengine huko! Walioiga fani.
Mkuu hawa wakina R.K Chudasama na Isumba Maritime Transport mbona wanatumia Mercedes Benz Actros MP4 kufanya Kazi za trip town za kubeba kontena na wana fleet kubwa ya hizo Gari.Mkuu Scania ipo vizuri zaidi sasa hivi iliyopo njiani nimeona G 460 ni kiboko nimeenda hapo wanapouza used ni rand 700,000 ya 2016 hiyo ni truck...hizo Actross tuachane nazo tutumie zilizopo nyingi kwetu ingawaje huyo mjerumani ana balaa zaidi...Scania haiwezi kukutupa hata upate R 420 inategemeana na kazi zako na iwe ya miaka ya karibuni tuu usinunue chakavu mno...