Wajuzi wa mambo ya ujenzi

Dar hawajengei mawe sana sana
 
Kama.uko serious kabisa naweza kukuunganisha na fundi aliyemijengea kwa bei chee kabisa. Fundi maridadi hana makuu. Baada ya kunijengea mimi kutokana na ubora wake alipata kazi zingine nne jirani yangu kwa kuwa watu walivutiwa na ubora wake. Bei yake ni nzuri sana. Kwa hiyo 12x12 kama kiwanja kiko poa atakufanyia kwa 1M lakini mnaweza kuongea zaidi haiwezi kuzidi 1.2M
 
1.2M fundi ajenge msingi hadi boma? Wenzetu hizo nyumba mnazijengea wapi?
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 12 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…