Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Anaejua tafsiri ya ndoto hii anipe.
Leo nimeota mtu wangu kajifungua watoto watatu, wa kike wawili wakapotea nikabaki na mmoja wa kiume ambaye nikampa jina la Ibrahim. Yeye alivyozaliwa tu, muda huo akawa anatembea na pia anaongea. Je, inamaanisha nini hii ndoto?
Leo nimeota mtu wangu kajifungua watoto watatu, wa kike wawili wakapotea nikabaki na mmoja wa kiume ambaye nikampa jina la Ibrahim. Yeye alivyozaliwa tu, muda huo akawa anatembea na pia anaongea. Je, inamaanisha nini hii ndoto?