Wajuzi wa Mapishi nisaidieni Haya ndio maviungo gani!

Wajuzi wa Mapishi nisaidieni Haya ndio maviungo gani!

Issuna

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,203
Reaction score
7,628
Mi mambo mengine yananipita hivi hivi..hili pilau nimeliona mahali naomba mwenye msaada wakujua haya majani ni mbwe au ni bahati mbaya yamedondokeamo.

Kama siku hizi ukipika pilau ukimaliza unaweka majani ya muembe tuambiane,ki ukweli hili pilau mi nikipewa haya majani yote mi naweka pembeni kama ni ushamba bora niitwe mshamba TU.

hulu mi ndo napaita kurudishana sodoma,mmeanza kutuwekea majani kidogo kidgo kwenye chakula mwisho wa siku tutakutana na Majani tupu mezani,nyie kina dada wapishi nguli Saweni tu lakini.

Fundi anisaidie hayo matawi ya mparachichi kazi yake nn kwenye pilau.
61199181_209898643306739_2891425790053410318_n.jpg
 
Mi mambo mengine yananipita hivi hivi..hili pilau nimeliona mahali naomba mwenye msaada wakujua haya majani ni mbwe au ni bahati mbaya yamedondokeamo.

Kama siku hizi ukipika pilau ukimaliza unaweka majani ya muembe tuambiane,ki ukweli hili pilau mi nikipewa haya majani yote mi naweka pembeni kama ni ushamba bora niitwe mshamba TU.

hulu mi ndo napaita kurudishana sodoma,mmeanza kutuwekea majani kidogo kidgo kwenye chakula mwisho wa siku tutakutana na Majani tupu mezani,nyie kina dada wapishi nguli Saweni tu lakini.

Fundi anisaidie hayo matawi ya mparachichi kazi yake nn kwenye pilau.View attachment 1123593
Hivi ni majani ya mparachichi au mhiliki (Umti unaotoa matunda ya hiliki)? Ok kiufupi hayo mayani huwaga yanatumika kwenye chakula kwa ajili ya kuleta harufu nzuri kwenye chakula. Kama sawa na kwenye chai huweka hayo majani pamoja na hiliki, na hii ni sana kwenye chai ya maziwa kwa ajili ya kuleta harufu nzuri na kuvutia.
 
Mi mambo mengine yananipita hivi hivi..hili pilau nimeliona mahali naomba mwenye msaada wakujua haya majani ni mbwe au ni bahati mbaya yamedondokeamo.

Kama siku hizi ukipika pilau ukimaliza unaweka majani ya muembe tuambiane,ki ukweli hili pilau mi nikipewa haya majani yote mi naweka pembeni kama ni ushamba bora niitwe mshamba TU.

hulu mi ndo napaita kurudishana sodoma,mmeanza kutuwekea majani kidogo kidgo kwenye chakula mwisho wa siku tutakutana na Majani tupu mezani,nyie kina dada wapishi nguli Saweni tu lakini.

Fundi anisaidie hayo matawi ya mparachichi kazi yake nn kwenye pilau.View attachment 1123593
We kula yanaongeza nguvu za kiume
 
Hayo ni kwa ajili ya good aroma kwenye chakula.
Yaweza kua majani ya mchungwa/mlimao/mdalisini n.k
 
Mi mambo mengine yananipita hivi hivi..hili pilau nimeliona mahali naomba mwenye msaada wakujua haya majani ni mbwe au ni bahati mbaya yamedondokeamo.

Kama siku hizi ukipika pilau ukimaliza unaweka majani ya muembe tuambiane,ki ukweli hili pilau mi nikipewa haya majani yote mi naweka pembeni kama ni ushamba bora niitwe mshamba TU.

hulu mi ndo napaita kurudishana sodoma,mmeanza kutuwekea majani kidogo kidgo kwenye chakula mwisho wa siku tutakutana na Majani tupu mezani,nyie kina dada wapishi nguli Saweni tu lakini.

Fundi anisaidie hayo matawi ya mparachichi kazi yake nn kwenye pilau.View attachment 1123593
Hayo majani yaweza kuwa Ni majani ya mdalasini au LIMAO au parachichi kinogesha harufu na ladha ya chakula mkuu Ila wapishi huyaondosha baada TU ya maji ya chakula kuchemka. Sasa huyo mpishi kuyaacha Kama hivyo nahisi HAJUI MATUMIZI SAHIHI YA HAYO MAJANI!
 
Mkuu bay leaves ndo majani ya mti gani kwa kiswahili?
Mkuu,sifahamu pia,labda wataalamu toka Vyuo vya Kilimo wanaweza kutusaidia.Ningependa kufahamu na mimi .Nilijaribu kutafuta kwa Kiswahili nilipata “Majani ya Bay”Bay Laurel 🌱 Plant kwa Kiswahili ningependa kufahamu pia.
 
Mi mambo mengine yananipita hivi hivi..hili pilau nimeliona mahali naomba mwenye msaada wakujua haya majani ni mbwe au ni bahati mbaya yamedondokeamo.

Kama siku hizi ukipika pilau ukimaliza unaweka majani ya muembe tuambiane,ki ukweli hili pilau mi nikipewa haya majani yote mi naweka pembeni kama ni ushamba bora niitwe mshamba TU.

hulu mi ndo napaita kurudishana sodoma,mmeanza kutuwekea majani kidogo kidgo kwenye chakula mwisho wa siku tutakutana na Majani tupu mezani,nyie kina dada wapishi nguli Saweni tu lakini.

Fundi anisaidie hayo matawi ya mparachichi kazi yake nn kwenye pilau.View attachment 1123593
Hayo majani yanatiwa "mvuje"
Ni kiungo ktk chakula na ni mazur kw afya ya mlaji
 
Back
Top Bottom