Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Habari zenu wana jukwaa?
Kuna jamaa yeye ni fundi magari (kunyoosha & kupiga rangi), anafanyia kazi zake ktk garage za mtaanii.
Hivi karibuni alifuatwa ktk garage na jamaa anayemfahamu akimtaka akamfanyie kazi yake katika garage moja maeneo ya Kawe.
Alipoenda akapewa kazi ya kupiga rangi gari moja, wakapatana bei, wakaelewana. Kazi ikaanza.
Akiwa katikati ya kazi akashtuka akifutwa na polisi wa kituo cha Kawe na kumkamata kwa kuwa alikuwa akitengeneza gari la wizi.
Kuna jamaa yeye ni fundi magari (kunyoosha & kupiga rangi), anafanyia kazi zake ktk garage za mtaanii.
Hivi karibuni alifuatwa ktk garage na jamaa anayemfahamu akimtaka akamfanyie kazi yake katika garage moja maeneo ya Kawe.
Alipoenda akapewa kazi ya kupiga rangi gari moja, wakapatana bei, wakaelewana. Kazi ikaanza.
Akiwa katikati ya kazi akashtuka akifutwa na polisi wa kituo cha Kawe na kumkamata kwa kuwa alikuwa akitengeneza gari la wizi.