NYANSINDE
Member
- Sep 2, 2017
- 14
- 8
Anayejua jamani nauliza.
Mwaka jana sikupewa likizo kwani kulikua na upungufu ea watumishi.. Sikulipwa naomba msaada wa waraka au sheria gani niweze kudai haki yangu
Ahsanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka jana sikupewa likizo kwani kulikua na upungufu ea watumishi.. Sikulipwa naomba msaada wa waraka au sheria gani niweze kudai haki yangu
Ahsanten
Sent using Jamii Forums mobile app