Ugangaaa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2017
- 370
- 554
- Thread starter
- #21
Ka
Kama anayoiyo gari miaka 10 iliyopita kiukweli, inashawishi kuamini iyo gari ni makini sana. Ahsnte Kiongozi kwa ushauri mzuri. Vp una ufahamu wwt khs TOYOTA RAUM? Mana wife ana force tuchukue iyo japo mm napata Hamasa na Suzuki Swift old model kwa uimara wake nao usikia.Huyu jamaa alinunua miaka 10 iliyopita kwa milion 7 hadi kuichukua Dar.
Kwa sasa gharama ziko tofauti kidogo ila inaweza kuwa around 9.5+ kwa kuagiza kutegemea na specifications.