Wakaka ikikutokea hali hii utachukua uamuzi gani

Mchezo wa pesa haufati itifaki, unaweza ukawa goal kipa na ukafunga hatriki

Gemu hili ukicheza fea umepotea

Yalopitwa sindwele [emoji385] [emoji383]
 
Tatizo laana ni malaya lkn mbali na hapo ni rahisi sana kukubaliana na Bosi hasa kwa kizazi chetu hiki cha wapenda pesa kuliko utu.
 
Naamka tu na kunawa uso...ka ndoto inaendelea yaani nikomae kwa mapenzi ya past paper.., ningekua nshaoa sawa...vijana wanaachana na wapenzi wao wa nyuma kwa sababu ndogo kuliko hizo
 
Ilivyo ni kuwa binti alishaambiwa anasoma lakini maisha yake ni kwenye kampuni ya baba yake. Huko Texas anekuwa heart broken na Black America na yeye yupo yupo tu
So anataka mi niwe mdaka chozi la mtu ambae simjui hata kidogo?kama ni mimi binafsi....I don’t do blind dates,pia napenda “kuwinda” mwenyewe(hata ikiwa vice versa basi isiwe ile ya wazi sanaaa).Pia loyalty ni kitu ya thamani sana.vitu ntatafuta aisee.wa Texas aendelee tu kuchunga farasi huko
 
Yaani Wewe Ni hovyo kweli umeshindwa Kuleta hio pikipiki Wakati Simba inacheza na Jahazi
Ya tamashani Texas Leo?
Leo jamaa alitangaza mbuzi lazima aanze kujipikia ndio maana pikipiki imepiga yowe wakakimbilia kufungulia barabara ingawa jua lilikua kali.
 
........….....….........
 
Naoa wote kwa dini yangu ni sunna
 
Kwa tabia za masikini sisi wa mtogole unachagua pazuri.....
 
Nitaangalia palipo bora, mahali moyo wangu hautaneng'eneka. halafu upande nitaojilizisha nitaweka maamuzi yangu bayana nikitanguliza shukrani za dhati.
 
Nitatumia mfano. Kule kwenye utalii wa ngono (nafikiri Arusha ipo sana hii). Anakuja kikongwe wa kitasha anavutiwa na mume wa mtu. Mume anamuweka wazi mkewe hali ilivo. Jamaa anachuma kwa mtasha anajenga hom.

Wanaume wanajitambua sana kwenye haya mambo. Wanawake ndo shida hawanaga msimamo ukimruhusu anaenda mazima utamsikia kwenye bomba tu.
 
Sasa nyumba ya baharini ndiyo ikutie kwenye mstaru usahau ahadi mlizo wekaeana na mwenzako?!
Halafu mali za urithi zinasumbua sana.
Tafuta zako kama yeye aliweza vipi wewe?!
 
Watu wanasomesha mademu kuanzia form1 mpaka chuo baada ya hapo,binti huyo kachukuliwa na lijamaa...Inafanana na hii kidogo.
 
Hahaaa AJIRA..?? How cheap you are brother... Kisa ajira ndo uache unachokiamin... Kwan bila io ajira hutoishi..?, hizi mentality za kuamin kwenye kuajiriwa ndo tunataka kuzifuta kwa vijana wa ki tz
Kweli kuwaz ajira n kama ukilema flan wa akili. Aaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…