Wakaka nipeni jeans zenu....

Hapa kuna kautata kadogo sana,Mbona wakati huyu dada anakuja kuomba jeans zetu afanikishe ubunifu wake cjaona ruksa yako kwetu kumpatia hizo jeans.
 
Hapa kuna kautata kadogo sana,Mbona wakati huyu dada anakuja kuomba jeans zetu afanikishe ubunifu wake cjaona ruksa yako kwetu kumpatia hizo jeans.
Tunakulaga Tu hainaga cha demu wako demu wako akiwa kwako
 
Duuh!hatari sana, kumbuka kuna kuliwa pia.
 
Mamaye. Nampigia simu Yasinta wa CBE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…