Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Picha pleaseSawa...
Ila wakati tukirembesha ndevu na ninyi rembesheni za huko chini kama wanavyofanya japanese, chinese na koreans.
Sio mnafugia mabutu tu.
Itapendeza wallahi
Ha ha mkuu hapo kwenye upara naona unanisema sasa[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Ndevu bila pesa ni sawa na bunduki bila risasi ni kama upara bila pesa /elimu
Kwahiyo ukioana mkaka mwenye ndevu Na anazihudumia wewe hoi[emoji41] [emoji41] [emoji41]Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na kuleta mwonekano mbaya.
Kwa mwanaume napenda akate ndevu zake ziwe fupi, na ikiwezekana azirembeshe
Staili nizipendazo ni hizi:
View attachment 447297 Binafsi napendelea sana pencil mustache, au kama hapa chini:
View attachment 447297 View attachment 447298
View attachment 447297 View attachment 447298 View attachment 447299
Sana tu aisee, kama hao wakaka kwenye picha na pencil beard zao. Una kitu kama hicho?Kwahiyo ukioana mkaka mwenye ndevu Na anazihudumia wewe hoi[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Kwahyo unataka kusema Osama alikuwa mtam sanaa!mkaka mwenye ndevu ni mtamu haswaa sio mchezo
Ha ha mie huwa natoa kila kitu. Sitaki kufuga kabisa haya makitu Yaani nakuwa kama mtoto. Si unajua tena navihela vyetu ukitia mbwe mbwe watu watajua pedeshee kumbe pedeshe ukchwara. Ila nikimpata atakeye nambia fuga nafuga vizuri tu[emoji39]Sana tu aisee, kama hao wakaka kwenye picha na pencil beard zao. Una kitu kama hicho?
Ha hebu tupeaufundi[emoji41] [emoji41] [emoji41] ikiwezekana nianze kufuga na miemkaka mwenye ndevu ni mtamu haswaa sio mchezo
umenifanya nicheke sana...............[HASHTAG]#FEARTHEBEARD[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee mimi kama hizi hapana
Hii inawahusu kina Faiza Foxy wawapendezeshe waume zao namna hii, midevu imekubali shampoo na wese la ukweli.
ndioKwahyo unataka kusema Osama alikuwa mtam sanaa!
the real and cool gentleman!