Wakaka, Waume..

Kusahau huwa ni ngumu sana labda itokee nimepata Cardiac Arrest ....paa la nyumba lilikuwa linavuja ikabidi nihamie stoo..Angel willl keep me company thou

hahahahaahahah lol
acha kunichekesha mwehhh..
we unakumbuka Bday tu.. hata siku moja
sijawahi kusikia Happy anniversary hunny ..
oohhhhh kuna kitu ntakwambia kuhusu my baby Angel ...
 
hahahahaahahah lol
acha kunichekesha mwehhh..
we unakumbuka Bday tu.. hata siku moja
sijawahi kusikia Happy anniversary hunny ..
oohhhhh kuna kitu ntakwambia kuhusu my baby Angel ...

Hivi umeolewa?
 
haisahauliki sasa? nifanyeje?
Kwanza m very glad ile sumu haikukuua, pili nimekumiss sana na tatu hiyo signature yako imenifurahisha maana unataka kusema wengine tungekuwa tunawatumia kama vyandarua na tunawawekea na ngao ya muda mrefu?
 
Umesha weka mzigo ndani inatosha uanze kukumbuka yaliyo pita ya nini?

hahahahahah lohhhh
umenichekesha kwali lohhh

kwa hiyo we ni wale wa.. Birthday imepita, sijui
wedding anniversary kwisha tunasubiri death day tu??
au nimekosea
 
kwanza m very glad ile sumu haikukuua, pili nimekumiss sana na tatu hiyo signature yako imenifurahisha maana unataka kusema wengine tungekuwa tunawatumia kama vyandarua na tunawawekea na ngao ya muda mrefu?
mimi sijui bwana
 
hahahahahah lohhhh
umenichekesha kwali lohhh

kwa hiyo we ni wale wa.. Birthday imepita, sijui
wedding anniversary kwisha tunasubiri death day tu??
au nimekosea

Maisha yangu kila siku ni sikukuu sina haja ya kufanya hayo makitu
 
hahahahaahahah lol
acha kunichekesha mwehhh..
we unakumbuka Bday tu.. hata siku moja
sijawahi kusikia Happy anniversary hunny ..
oohhhhh kuna kitu ntakwambia kuhusu my baby Angel ...
Bado si mpaka November...kuna Anniversary mbili ya kwako na ya Angel...lol
 
ni juzi mama alinipigia simu na kuniambia ''leo ni siku yako ya kuzaliwa'' hbday mwanangu....nikamwambia asante mama likini ukweli ni kwamba katika kichwa changu hili halikuwepo kabisa na sijawahi kulikumbuka ....
 

Tank you so much ...

one more question ..
Je we unadhani inapendeza zaidi kwa sisi kuwaambia tunataka nini au nyie mfanye lolote..?

My dear I miss you too..
Nafurahi kukutana nawe hapa tena ..
 

duhhhhhhhhh..
itabidi tutafute kitu kama alarm clock ..
ambayo itawakumbusha kila kitu maana dahhhh..

ohhhhh au unaweza kuweka reminder on your cellphone.. unaonaje hiyo??
 
Kweli mimi sitaki hata kuijua maana nitapata hasira kwa nini hiyo siku niliamua kufanya maamuzi ya kuchukua Liabilities na kusogeza chumbani

Dahhhhh
Hasira za nini tena kwenye kumbukumbu ya mambo mazuri??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…