Wakaka wote wa JF

Wewe Preta una uhakika gani maana jinsia za wanaJF wengi hazijulikani mfano waijua jinsia ya Boflo, NN, Kunta Kinte, Roya Roy, Henge n.k???
mkuu,
kwani hao watu preta AMEWATAJA?
why don't you :tape::tape::tape:
 
mkuu,
kwani hao watu preta AMEWATAJA?
why don't you :tape::tape::tape:
Mdogo wangu... tusiharibu siku... Preta's message had no name calling, sex identification nor pointing fingures. it was purely good starter for the week

Lets pass his intention, kumbuka ulifungiwa watu wakashangilia sana!! na ukumbuke Masa alipofungiwa kuna mtu alikuja na vigelegele

:ban:
 
mkubwa, wakaka waliopendwa wamejijua, sasa kama kuna mtu amejisikia sio mkaka ajue hajapendwa wala nini....ATULIE.
 
umesomeka mkuu!
lakini wakati mwingine ule UHURU wa WHERE WE DARE.......!usiingiliwe na watu kama huyo bwana.yani kutumia fimbo ya ''nitakusemea kwa mod/invizibo ili akupe ban'' wakati mwingine ni udhaifu mkubwa!.
 
Mie kwa hawa wadada wanaotupenda sie sanaa! I Livicated the Song '' Georghina''
kwani i do wanna luz one of dem dis memorable tymz...
Nuff Raspek....
 
umesomeka mkuu!
lakini wakati mwingine ule UHURU wa WHERE WE DARE.......!usiingiliwe na watu kama huyo bwana.yani kutumia fimbo ya ''nitakusemea kwa mod/invizibo ili akupe ban'' wakati mwingine ni udhaifu mkubwa!.
ndio life hiyo... ukinipiga unanionea, ukiniacha unaniogopa
 
umesomeka mkuu!
lakini wakati mwingine ule UHURU wa WHERE WE DARE.......!usiingiliwe na watu kama huyo bwana.yani kutumia fimbo ya ''nitakusemea kwa mod/invizibo ili akupe ban'' wakati mwingine ni udhaifu mkubwa!.

Siku hizi mnasahau kuamsha wazee.. eti?

No sweat.. Hii kitu ni bomba sana (ingawa nimepitwa long time) na huyu dada naona ameota kitu kizuri sana usiku.

Kwa wenye macho ya makengeza (tena ya 1947) bado tunaamini hakuna mkaka anayebaniwa hapo. .........:lying::lying::lying::lying::A S 41::A S 41::A S 41:
 

Ukiwa kwenye vijana hata ukiwa mzee unahesabika kuwa wewe ni mkaka
 

IS IT OKAY TO GET EMOTIONAL?:A S-cry:
 
Ukiwa kwenye vijana hata ukiwa mzee unahesabika kuwa wewe ni mkaka

Ndiyo hivyo mdogo wangu tunajitahidi kulazimisha ila speed ya hawa vijana wa dot com ni zaidi ya samba la Barcelona au Arsenal. Hata hivyo tunajikongoja kongoja taratibu mwendo wa kinyonga!!
 
Thanks Preta for this useful thread, hata sisi watoro siku hizi we still feel the same for our JF bRothers, they r the best. I love yoooooooooooou all.
 
Such a wonderful post Preta, thx. And surely, i admire JF brothers too.

Remain blessed
 

Do you really LOVE Invisible, labda mke wake asiione hii. Yasije kuwa mambo ya Grace khe khe kheeeeeeeee.
 

Awww!so sweet of you, I believe makaka walikuwa na siku njema kwa loving wishes zako!..stay cool dear!!
 
Ndiyo hivyo mdogo wangu tunajitahidi kulazimisha ila speed ya hawa vijana wa dot com ni zaidi ya samba la Barcelona au Arsenal. Hata hivyo tunajikongoja kongoja taratibu mwendo wa kinyonga!!

Ngombe hazeeki maini
 
Thanx preta kwa kutufikishia ujumbe.
dedicated song - dancing with my father by vandross
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…