doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 45
- 56
Hivi ni sahihi kwa wakala kuomba simu yako ya mkononi kuangalia sms ya muamala kama imeingia? Binafsi mimi naona ni kuvunja privacy au taarifa za siri za mtu kwani sms ya muamala inaonyesha kiasi kilichobaki kwenye account ya mteja.
1: mteja alietoa hela na kubakiza kiasi kikubwa sana kwenye simu yake inaweza kuhatarisha maisha au usalama wa mtu huyo
2: mteja aliyebakiza kiasi kidogo sana kwenye simu yake mfano katoa Tsh2000=/ kabakiza Tsh 5 inaweza kupelekea kudharauliwa na kusemwa kwa wahudumu au mawakala wasiotambua umuhimu wa kuficha taarifa binafsi za mteja. Mimi pia ni mmoja kati ya watu ambao huwa tunakosa raha kabisa pale wakala anapoomba simu yako ajiridhishe kuangalia sms ya uthibitisho.
1:Swali langu ni sahihi wakala kuomba simu ya mteja?
2:utaratibu ni upi?
1: mteja alietoa hela na kubakiza kiasi kikubwa sana kwenye simu yake inaweza kuhatarisha maisha au usalama wa mtu huyo
2: mteja aliyebakiza kiasi kidogo sana kwenye simu yake mfano katoa Tsh2000=/ kabakiza Tsh 5 inaweza kupelekea kudharauliwa na kusemwa kwa wahudumu au mawakala wasiotambua umuhimu wa kuficha taarifa binafsi za mteja. Mimi pia ni mmoja kati ya watu ambao huwa tunakosa raha kabisa pale wakala anapoomba simu yako ajiridhishe kuangalia sms ya uthibitisho.
1:Swali langu ni sahihi wakala kuomba simu ya mteja?
2:utaratibu ni upi?