LGE2024 Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga

LGE2024 Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

IMG_20241012_130806_848.jpg

IMG_20241012_132722_456.jpg


Jacob Roman Emily ni Katibu Kata wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) @ChademaTz
kwa Kata ya Tabata amejeruhiwa kwa viwembe na kundi la vijana wakati alipokuwa akienda kutoa taarifa juu ya uwepo wa watu wanaoandikisha wananchi kinyume na utaratibu.

Emily anaeleza kuwa alikuwa kwenye majukumu yake ya kupitia kwenye vituo vilivyopo katika kata hiyo ili kuona utekelezaji wa majukumu wa mawakala wa chama chake na alipofika kituo cha kujiandikishia kilichopo Tabata Shule nje ya kituo akakuta kundi la watu ambao amedai ni wanachama wa Chama cha Mapinduzi(CCM) @ccm_tanzania
wakiandikisha wananchi ambao tayari wameshajiandikisha kituoni hapo.

Baada ya kuhoji juu ya uandikishaji huo aliondoka ili kwenda kushtaki kwa mamlaka husika ambayo ni Mtendaji wa Mtaa huo, akiwa njiani ndipo vijana hao wakaja kumshambulia na mmoja akamjeruhi kwa kumchana na kiwembe eneo la shavu la kulia.

Kwa upande wake Katibu wa CHADEMA jimbo la Segerea Shadya Abubakari ameeleza kuwa wameripoti tukio hilo kwa Jeshi la Polisi na Mkuu wa Upelelezi kutoka Kituo cha Polisi Buguruni alifika eneo la tukio huku hatua zikichukuliwa ikiwemo kukamatwa kwa mtuhumiwa mmoja.

PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
 
Lisu yuko Ulaya akitafuta namna ya kukamata ndege za watanzania
 
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Linapokuja suala la madaraka, CCM wanaweza kudhuru hata nusu ya Tanzania ili waendelee kushika fola kwa maslahi yao
 
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Uharamia uanikwe kila mahali
 
#Pichani ni Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata Jacob Emily amepigwa na kuumizwa na maccm wakati alipokua anayazuia majina yaliyoletwa na CCM yasingizwe kwenye vitabu vya uandikishaji
NB. Tukio hili limetokea jirani na kituo cha Police Tabata ila mpaka sasa hawajakamata mtu yeyote.
 
Tuoneshe picha ya namna alivyozuia.
Hii picha hata kibaka anaweza kupigwa kwa kujaribu kuiba.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
#Pichani ni Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata Jacob Emily amepigwa na kuumizwa na maccm wakati alipokua anayazuia majina yaliyoletwa na CCM yasingizwe kwenye vitabu vya uandikishaji
NB. Tukio hili limetokea jirani na kituo cha Police Tabata ila mpaka sasa hawajakamata mtu yeyote.



View attachment 3122778
Acheni kutafut huruma za kisiaa hapa
 
#Pichani ni Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata Jacob Emily amepigwa na kuumizwa na maccm wakati alipokua anayazuia majina yaliyoletwa na CCM yasingizwe kwenye vitabu vya uandikishaji
NB. Tukio hili limetokea jirani na kituo cha Police Tabata ila mpaka sasa hawajakamata mtu yeyote.



View attachment 3122778
Dah! Pole yake sana. Sasa sijui majina alifamikiwa kuyazuia au ndio yameshachomekwa?? 😳
 
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Sidhani kama hilo swala ni kweli kwasababu kama wanampango huo kweli CCM hawashindwi kuyaingiza kwasababu idadi kubwa ya waandikishaji ni watu wao si hata wakimaliza uandikishaji wanawaingiza tu. vitabu wamechapisha wenyewe baada kuandikishwa vitabu wanapelekewa wao wala sioni nisehemu gani wanaweza kushindwa kuingiza majina feki kama kweli yapo, wala hawana sababu yakupigana na mtu, wanaweza wakatengeneza vitabu hata viwili vuwili kimoja kinaorodheshwa majina halali nakingine kinaorodhesha majina feki. Na wala sioni sababu ya CCm kufanya hivyo hao sababu wana mtaji mkubwa sana ya wstu waoga waoga mitaani.
 
Back
Top Bottom