LGE2024 Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga

LGE2024 Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kama hao watu hawajavaa sare za CCM unajuwaje kuwa ni CCM??

Na hata wakivaa unajuwaje kuwa ni CCM?? Kwa sare tu??

Hizi nchi zetu changa matatizo ni makubwa sana.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Yeye anazuia kama nani? Hajui utaratibu wa kufuata? Mwacha apate alichokuwa anakitaka.
 
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Yaani chadema badala ya wao kuleta majina ya watu wao wanazuia ccm kuandikisha wafuasi wao kupiga kura. Utaratibu ni wananchi kwenda kujiandikisha sema ccm wanajiongeza maana siku ya kupiga kura mtu atatakiwa kuonesha kitambulisho chake. Hapo ndio utajua chadema hawana wenye kuwaunga mkono hadi hawawezi kuleta majina kuandikishwa. Wao wamebaki kutafufuta sababu za kuja kupinga matokeo.
 
  • Thanks
Reactions: UCD

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 1
Hapo polisi huwezi kuwasikia kabisa.

Ni dalili tosha na uhusiano wao na CCM haupingiki.

CHADEMA stand and act wimbo wa "tumeibiwa" tumechoka kuusikia .
 
mawakala wa chadema wamekua wakionyesha kutaka kuvuruga zoezi kwa makusudi kutokana na kukosa chakula cha mchana kuanzia jana zoezi likiendelea
 
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Duu hii ndiyo kwanza naiskia basi ilikuwa hakuna haja ya kwenda kuandiksha kupiga kura kama majina yanatoka mfukoni mwa wana CCM
 
Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa wakamvamia na kumjeruhi.

Inasemekena Polisi - Tabata walikuwapo karibu kabisa, Wametulia tu.

View attachment 3122551
View attachment 3122570


PIA SOMA
- LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
CCM imejaa mashetani. Hiki chama ni laana kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom