Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,455
Winger wa Azam na timu ya taifa ya Tanzania Farid Musa amefaulu majaribio yake kwenye klabu ya Deportivo Tenerife ya Hispania ambako tayari pia amefaulu vipimo vya afya na kinachosubiriwa ni makubaliano kati ya klabu hizo mbili ili kukamilisha deal.
Lakini nyuma ya pazia, kuna story kwamba wakalaambaye alitakiwa kusimamia kila kitu kuhakikisha Farid anafanya majaribio akiwa nchini Hispania alilala-mbele kwa madai kwamba mteja wake hana vigezo ambavyo alivitarajia.
Yusuf Bakhresa ambaye yupo Spain na Fafrid ameitonya Shaffih Dauda kuwa mawakala wengine ni wababaishaji baada ya wakala huyo kutimkia kusikojulikana na kumuacha faridi kwenye ‘mataa’.
“Wakala John Sorzano aliyetakiwa kumsimamia Farid Musa kufanya majaribio nchini Hispania alimtelekeza, baada ya Faridi kutua Hispania yule wakala akamtufuta mtu mwingine ili amsimamie Faridi. Baada ya huyo wakala kumuona Faridi akaema hana viwango kwahiyo wote wakamtelekea”, anasema Yusuf ambaye ilibidi avae majukumu ya kuhakikisha Farid anapata nafasi ya kufanya amajariio kwenye klabu ya Tenerife.
“Kwa bahati nzuri mimi (Yusuf) nilikuwa hapa, ikabidi nianze kumtunza Farid. Nikafanya mawasiliano na viongozi wa Tenerife wakakubali kumpa nafasi ya kuendelea kufanya majaribio, baada ya Farid kuonesha uwezo mkubwa wakamkubali. Wale mawakala wakapata taarifa kwamba dogo amekubalika, waanza kuja kutaka kusimamia dili”.
“Mimi nimewapiga chini na nimeuambia uongozi wa Tenerife uandike barua rasmi kwa Azam. Muda wowote watatuma offer kwa klabu ya Azam na kufanya bishara ya kumuuza Farid”.
Lakini nyuma ya pazia, kuna story kwamba wakalaambaye alitakiwa kusimamia kila kitu kuhakikisha Farid anafanya majaribio akiwa nchini Hispania alilala-mbele kwa madai kwamba mteja wake hana vigezo ambavyo alivitarajia.
Yusuf Bakhresa ambaye yupo Spain na Fafrid ameitonya Shaffih Dauda kuwa mawakala wengine ni wababaishaji baada ya wakala huyo kutimkia kusikojulikana na kumuacha faridi kwenye ‘mataa’.
“Wakala John Sorzano aliyetakiwa kumsimamia Farid Musa kufanya majaribio nchini Hispania alimtelekeza, baada ya Faridi kutua Hispania yule wakala akamtufuta mtu mwingine ili amsimamie Faridi. Baada ya huyo wakala kumuona Faridi akaema hana viwango kwahiyo wote wakamtelekea”, anasema Yusuf ambaye ilibidi avae majukumu ya kuhakikisha Farid anapata nafasi ya kufanya amajariio kwenye klabu ya Tenerife.
“Kwa bahati nzuri mimi (Yusuf) nilikuwa hapa, ikabidi nianze kumtunza Farid. Nikafanya mawasiliano na viongozi wa Tenerife wakakubali kumpa nafasi ya kuendelea kufanya majaribio, baada ya Farid kuonesha uwezo mkubwa wakamkubali. Wale mawakala wakapata taarifa kwamba dogo amekubalika, waanza kuja kutaka kusimamia dili”.
“Mimi nimewapiga chini na nimeuambia uongozi wa Tenerife uandike barua rasmi kwa Azam. Muda wowote watatuma offer kwa klabu ya Azam na kufanya bishara ya kumuuza Farid”.