Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kutafuta pesa ndugu yangu, bado upo kwenye level ya kuzingatia bei na SIO kuzingatia ubora wa bidhaaDuka lenu mnabei kubwa sana sijawah kuona. Doo najuta kuja kununua kwenu
Dogo nina pesa... Ninaweza kuwa na maduka kama yako hayo 100. Ukweli usemwe mnauza vitu bei sana na quality ni ya kawaida saanaEndelea kutafuta pesa ndugu yangu, bado upo kwenye level ya kuzingatia bei na SIO kuzingatia ubora wa bidhaa
Karibu Kwa wakati Mwingine ofisini kwetu, Kwa huduma NzuriDogo nina pesa... Ninaweza kuwa na maduka kama yako hayo 100. Ukweli usemwe mnauza vitu bei sana na quality ni ya kawaida saana
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Duka lenu mnabei kubwa sana sijawah kuona. Doo najuta kuja kununua kwenu
Mtu anaitwa Mwita unategemea nini, vita ni vita muraa!Dah unafokea wateja hadi sio poa....
Mkuu hii siyo lugha ya biashara. JF WANAPITA WENGI.Yani kozi ya miezi mitatu unataka ni-summarize ktk paragraph mbili au tatu then mategemeo yako Kwamba utaelewa.
Pia lengo la tangazo ni kuonesha huduma ya uchanganyaji wa Rangi tunayotoa na SIO huduma ya kufundisha jinsi ya kuchanganya Rangi.
Kwa wakati Mwingine Fikiri Mara mbili kabla ya kuandika upuuzi kama ulioandika.
Anyway Karibu CHAMPION PAINT SHOP Tunapatikana Mwenge-lufungira Kwa huduma Nzuri.
Mkuu hii siyo lugha ya biashara. JF WANAPITA WENGI.Yani kozi ya miezi mitatu unataka ni-summarize ktk paragraph mbili au tatu then mategemeo yako Kwamba utaelewa.
Pia lengo la tangazo ni kuonesha huduma ya uchanganyaji wa Rangi tunayotoa na SIO huduma ya kufundisha jinsi ya kuchanganya Rangi.
Kwa wakati Mwingine Fikiri Mara mbili kabla ya kuandika upuuzi kama ulioandika.
Anyway Karibu CHAMPION PAINT SHOP Tunapatikana Mwenge-lufungira Kwa huduma Nzuri.
🤣🤣🤣🤣 tutaogopa kununua togwaMtu anaitwa Mwita unategemea nini, vita ni vita muraa!
Muraaaa punguza hasira mtaniHakuna ulichoeleza
Ulichoandika ni upuuzi yani ni upuuzi wa Hali ya juu na ume-comfirm kuwa wewe ni mpumbavu.
Mimi ni mfanyabiashara nauza Rangi na Lengo ni kumuuzia mteja Rangi tu na Sio kutoa elimu juu ya process zote za uchanganyaji wa Rangi.
ila vizuri inaonekana unapenda kujifunza Basi siku mfate bakheresa au mo dewji ukawaulize process zote juu ya utengenezaji wa vinywaji ktk viwanda vyao.
Mtani Karibu Dukani kwetu Kwa huduma Nzuri Sana, Tena nitakufanyia discount ndugu yanguMuraaaa punguza hasira mtani
Karibu Dukani kwetu Kwa huduma Nzuri,Mkuu hii siyo lugha ya biashara. JF WANAPITA WENGI.
Wateja Wanakuja ndugu yangu, usiwe na wasiwasi, hapotei hata mmoja sababu Rangi zetu ni Nzuri pia tunatoa huduma Nzuri Kwa mtejaHUYU MUUZAJI HANA CUSTOMER CARE. ATAPOTEZA WATEJA WA HUMU
Karibia ofisini kwetu ujipatie Rangi Nzuri na huduma Nzuri,Nilikua Musoma sehemu wanapaita Nyasho kona, hawa ndugu zetu kuhusu Customer ni kuwasamehe tu