Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mino Raiola (54) ambaye ni Wakala wa Wachezaji wengi amefariki dunia baada ya kuugua kwa miezi kadhaa
Raiola alilazwa katika hospitali ya Milan mnamo Januari 2022 na kufanyiwa upasuaji lakini aina ya ugonjwa wake haikubainishwa
Wachezaji waliokuwa wakiwakilishwa na Raiola ni;
| Player | Nationality |
|---|---|
| Erling Haaland | Norway |
| Matthijs de Ligt | Netherlands |
| Gianluigi Donnarumma | Italy |
| Paul Pogba | France |
| Marco Verratti | Italy |
| Stefan de Vrij | Netherlands |
| Ryan Gravenberch | Netherlands |
| Hirving Lozano | Mexico |
| Moise Kean | Italy |
| Justin Kluivert | Netherlands |
| Henrikh Mkhitaryan | Armenia |
| Zlatan Ibrahimovic | Sweden |
| Mario Balotelli | Italy |
| Alessio Romagnoli | Italy |
| Donyell Malen | Netherlands |