Wakali wa assist VPL, kweli Yanga mnajua kupiga kelele

Wakali wa assist VPL, kweli Yanga mnajua kupiga kelele

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Wadau, mwenye macho haambiwi tazama.

FB_IMG_16157340423510946.jpg
 
Yanga kwa sasa wanakosa kiungo mbunifu
 
Pira la Vyura halihitaji assist....! Pasi 2 tu tayari watu wamejazana golini...! Sasa hapo assist ya nini...! Huu ndo mpira asilia wa Yanga huyo Kaze wamemtoa kafara...!
 
Sasa hizo assist zimewapeleka nafasi ya ngapi?
 
Back
Top Bottom