EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh Aggrey Mwanri (mwenye suti) akiwa anasimamia kuwaweka chini ya ulinzi vijana watatu aliowakamata kwa kosa la kula maembe na kutupa maganda barabarani jijini Arusha.
Kwa habari zaidi: MICHUZI: mh. mwanry awajia juu viongozi wa manispaa ya arusha
Kwa habari zaidi: MICHUZI: mh. mwanry awajia juu viongozi wa manispaa ya arusha