VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 581
serikali ya kikwete bwana, sasa watu watatembea na majuko ya uchafu kama wehu, kwa nini wasiweka mabin kwanza ndio wakamate watu, harafu mimi nadhani faini ndio suruhisho, au hii ni kuwapiga mkwara wana arusha
kuna siku haki itatembeaka lakini watoto wetu watakuwa katika majonzi kutokana na history zenu
kuna siku haki itatembeaka lakini watoto wetu watakuwa katika majonzi kutokana na history zenu