Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh Aggrey Mwanri (mwenye suti) akiwa anasimamia kuwaweka chini ya ulinzi vijana watatu aliowakamata kwa kosa la kula maembe na kutupa maganda barabarani jijini Arusha.
Kwa habari zaidi: MICHUZI: mh. mwanry awajia juu viongozi wa manispaa ya arusha
ebo we jamaa vipi??????????
Hizi ni zama za usanii na unafiki.................
Hizi ni zama za usanii na unafiki.................
sasa wewe ushaambiwa mkuu wa mkoa wa Arusha-the geneva of Africa wewe unaleta stori zako za manzeshe na kiwalani.. wapi na wapi bana ni kama umetoka nje ya topic yaani hapa ni kama vile umempa bibi kidude ashuke mistari kwenye bit la Jay ZMwanri tunaomba uanzie DSM,ntakupa na maeneo, kwa mtogole,tandale sokoni,kkoo,mwenge,temeke stereo,tandika,buguruni sokoni, viongozi wetu msiwe wanafiki,lile jiji letu la DSM mbona hamfanyi hayo na ndo mnashinda mle mnafatilia michongo yenu pale bandarini/kiwanja cha ndege na mnapishana na mavi na maji yenye mikojo pale upanga kwenye majumba ya wahindi??ama ndo mnataka kuamsha hasira za wana-arusha?
Mkuu sio kama natetea uchafu... lakini kwangu kiongozi anayewaacha mafisadi wanatamba huku akikimbizana na watupa maganda ni msanii na mnafiki.ebo we jamaa vipi??????????
mimi nampa big up sana jamaa, vitu vidogo vidogo sana hivi lakini madhara yake ni makubwa , hivi jimmy paka hapao Arusha kuna madustbin lakini? kama yapo basi huyu mkuu wa mkoa ana haki ya kufanya hivyo na inabidi adhabi iweke , i mean wapigwe fain kali, nampa tano huyu mkuu wa mkoa
Mkuu sio kama natetea uchafu... lakini kwangu kiongozi anayewaacha mafisadi wanatamba huku akikimbizana na watupa maganda ni msanii na mnafiki.
Kuna mengi sio ufisadi tuu. Big up Mheshimiwa na hata hapa Dar ukiwaona wakamate wakalipe faini ya sh. 50,000!
ebo we jamaa vipi??????????
mimi nampa big up sana jamaa, vitu vidogo vidogo sana hivi lakini madhara yake ni makubwa , hivi jimmy paka hapao Arusha kuna madustbin lakini? kama yapo basi huyu mkuu wa mkoa ana haki ya kufanya hivyo na inabidi adhabi iweke , i mean wapigwe fain kali, nampa tano huyu mkuu wa mkoa
sasa wewe ushaambiwa mkuu wa mkoa wa Arusha-the geneva of Africa wewe unaleta stori zako za manzeshe na kiwalani.. wapi na wapi bana ni kama umetoka nje ya topic yaani hapa ni kama vile umempa bibi kidude ashuke mistari kwenye bit la Jay Z
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh Aggrey Mwanri (mwenye suti) akiwa anasimamia kuwaweka chini ya ulinzi vijana watatu aliowakamata kwa kosa la kula maembe na kutupa maganda barabarani jijini Arusha.
Kwa habari zaidi: MICHUZI: mh. mwanry awajia juu viongozi wa manispaa ya arusha
Hivi jamani tunamambo mangapi yamuhimu kwa maisha ya mtz? Mbona hawa viongozi siwahelewi? Wanafanya mambo ya ajabu sana. Tunashindwa kuwafatilia walarushwa na kuwanaviongozi waadilifu tunakaa kupambana na mambo ya ajabu.
wananiuzi hawa jamaa we acha tu.
Mwanri tunaomba uanzie DSM,ntakupa na maeneo, kwa mtogole,tandale sokoni,kkoo,mwenge,temeke stereo,tandika,buguruni sokoni, viongozi wetu msiwe wanafiki,lile jiji letu la DSM mbona hamfanyi hayo na ndo mnashinda mle mnafatilia michongo yenu pale bandarini/kiwanja cha ndege na mnapishana na mavi na maji yenye mikojo pale upanga kwenye majumba ya wahindi??ama ndo mnataka kuamsha hasira za wana-arusha?
Apongezwe kwa lipi kwanza akishindwa kusimamia kesi hiyo mahakamani awalipe fidia hao watu walipao kodi kwa jasho na yeye ndie anakula jasho lao kwani alitaka watupe wapi hizo taka na dustbin hakuna au alitaka weziweke kwenye mifuko ya makoti kisha wazitupe kwenye vyoo vyao?Mimi nadhani anastahili kupongezwa