Wakandarasi wa barabara (Nyanza Roadworks) hawafukii mashimo walipochukua vifusi, maeneo ya Iyumbu, Block C, Dodoma na kusababisha HATARI

2Y2

New Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
1
Reaction score
0
Habari,

Tunaomba ushauri ili tupate msaada kutoka kwa mamlaka husika. Mimi ni mmoja wa wakazi wa Block C, Iyumbu West, Dodoma.

Tuna changamoto ya mashimo / makorongo makubwa yaliyochimbwa na kampuni ya Nyanza Roadworks wakitafuta kifusi kwa ajili ya matengenezo ya barabara, na mpaka sasa wameyaacha hivyo hivyo bila kuyafukia / site restoration (Nimeambatanisha picha).

Tumejaribu kwenda NEMC tukakwama na wakasema hawawezi kutusaidia, tulitakiwa kwenda wakati wanachimba ndio wangewasimamisha.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…