Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Mwenyekiti wa Chama Cha Wakandarasi Wanawake Kanda ya Kati na Mashariki Tanzania Bi. Hidaya Abri amemshukuru Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda kwa kuendelea kuwapambania wakandarasi wanawake kupata mitaji inayowawezesha kufanikisha Utekelezaji wa tenda za wadau wa Maendeleo ikiwemo Serikali.
🗓️ Mei 16, 2024
📍 Dodoma
🗓️ Mei 16, 2024
📍 Dodoma