Masaa 48 yapi. Hebu uwege na aibu kidogo. Kwanza jiulize nd ya 24hrs tayar 234m zimepatikana na tayari wanawake wa bawacha wamesha patiwa remove order. Unadhani ni jambo dogo?Masaa 48 wameshindwa kukusanya million 300?
Si wanasema wana wafuasi milioni 6?
Kweli chadema imekwisha
Juzi Yanga kwa masaa 10 walikusanya zaidi ya milioni 500 taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikushauri tu uwahi kumuona daktari wa matatizo ya akili kabla tatizo lako halijawa kubwa.
Kada tokea akiwa chadema,erudi tu nyumbani
Wewe si unasubiri upakuliwe nyuma ili upate pesa! Wenzako wanazisotea!Masaa 48 wameshindwa kukusanya million 300?
Si wanasema wana wafuasi milioni 6?
Kweli chadema imekwisha
Juzi Yanga kwa masaa 10 walikusanya zaidi ya milioni 500 taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe...angalia rangi ya kijani isije ikageuza akili na ufahamu wako kuwa kama wa mbuzi mla majani.[emoji51] [emoji51]Masaa 48 wameshindwa kukusanya million 300?
Si wanasema wana wafuasi milioni 6?
Kweli chadema imekwisha
Juzi Yanga kwa masaa 10 walikusanya zaidi ya milioni 500 taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa mwenyekiti wako ameshafanya kile nilichokitabiri.Masaa 48 wameshindwa kukusanya million 300?
Si wanasema wana wafuasi milioni 6?
Kweli chadema imekwisha
Juzi Yanga kwa masaa 10 walikusanya zaidi ya milioni 500 taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti wako ameshachangia kama nilivyosema sasa sijui utasema nini!!Masaa 48 wameshindwa kukusanya million 300?
Si wanasema wana wafuasi milioni 6?
Kweli chadema imekwisha
Juzi Yanga kwa masaa 10 walikusanya zaidi ya milioni 500 taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti wako ameshachangia kama nilivyosema sasa sijui utasema nini!!
Huyo Tako hajielewiMwenyekiti wako ameshachangia kama nilivyosema sasa sijui utasema nini!!
ACT wamechangia shilingi milioni mbili ambazo zimewasilishwa na Zitto.
Binafsi nawashukuru na kuwapongeza sana:
View attachment 1384403
Tahadhari:Chama cha kijani nacho ili kujisafisha mbele ya umma na ulimwengu,msishangae kuwaona wakiwasilisha mchango wao kama chama au baadhi ya viongozi wa chama hicho wakajitokeza kuchangia ili kujenga taswira kuwa chama chao hakihusiki na haya mambo.
Nina hakika mpaka sasa wanajuta na wangejua mapema, huenda wasingeruhusu jambo hili litokee ila ndio hivyo wameshachelewa.