Wakati CCM ipo "Site" CHADEMA wanatafuta "Likes" na "Retweets"

Wakati CCM ipo "Site" CHADEMA wanatafuta "Likes" na "Retweets"

Infiltrator

Senior Member
Joined
May 13, 2017
Posts
126
Reaction score
227
Na Jackson Jonathan

Katika siasa za sasa, CHADEMA kimeonekana zaidi kama chama cha mitandaoni, kikitumia nguvu nyingi kwenye "Twitter" maarufu kama "X" kuliko uhalisia wa kisiasa.

Badala ya kuja na sera madhubuti, wamebobea katika porojo za mtandaoni, wakiamini kuwa "hashtag" ina uzito zaidi kuliko mikakati ya maendeleo.

Mazungumzo yao yamejaa "trending topics" badala ya mipango ya kumkomboa mwananchi wa kawaida.

Wanachojali zaidi ni "likes" na "retweets," wakipuuza changamoto halisi zinazowakabili wananchi.

Kwa upande mwingine, CCM, chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Hassan, wapo “site” wakitatua changamoto za wananchi moja kwa moja.

Wakati wapinzani wakiendelea na mijadala ya mitandaoni, Dkt. Samia ameongoza chama na serikali yake kwa kuhakikisha wanajikita kwenye kutatua kero za msingi zinazowakabili wananchi kila siku.

Soma Pia: Prof. Kitila Mkumbo: Wapinzani Wanauza Malalamiko, CCM inauza Mafanikio

Kuanzia kuboresha huduma za afya, elimu, mpaka miundombinu, Rais Samia yupo mstari wa mbele kuhakikisha kuwa maendeleo yanapatikana kupitia vitendo na si maneno.

Wakati CHADEMA wanasubiri "mention" mpya, CCM ipo kazini, ikisikiliza, kujibu, Kupokea na kutatua mahitaji ya wananchi kwa vitendo, si kwa "tweets."
 
WAKATI CCM IPO "SITE" CHADEMA WANATAFUTA "LIKES" NA "RETWEETS"

Na Jackson Jonathan

Katika siasa za sasa, Chadema kimeonekana zaidi kama chama cha mitandaoni, kikitumia nguvu nyingi kwenye "Twitter" maarufu kama "X" kuliko uhalisia wa kisiasa.


Badala ya kuja na sera madhubuti, wamebobea katika porojo za mtandaoni, wakiamini kuwa "hashtag" ina uzito zaidi kuliko mikakati ya maendeleo.


Mazungumzo yao yamejaa "trending topics" badala ya mipango ya kumkomboa mwananchi wa kawaida.


Wanachojali zaidi ni "likes" na "retweets," wakipuuza changamoto halisi zinazowakabili wananchi.


Kwa upande mwingine, CCM, chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake Dkt. Samia Suluhu Hassan, wapo “site” wakitatua changamoto za wananchi moja kwa moja.


Wakati wapinzani wakiendelea na mijadala ya mitandaoni, Dkt. Samia ameongoza chama na serikali yake kwa kuhakikisha wanajikita kwenye kutatua kero za msingi zinazowakabili wananchi kila siku.


Kuanzia kuboresha huduma za afya, elimu, mpaka miundombinu, Rais Samia yupo mstari wa mbele kuhakikisha kuwa maendeleo yanapatikana kupitia vitendo na si maneno.


Wakati Chadema wanasubiri "mention" mpya, CCM ipo kazini, ikisikiliza, kujibu, Kupokea na kutatua mahitaji ya wananchi kwa vitendo, si kwa "tweets."
Wakishindwa kwenye uchaguzi wanaanza kulalama wameibiwa kura.
 
Punguza ujinga. Si juzi hapa mlipiga marufuku mkutano wa Lissu Tanga. Acha unafiki wewe chawa
 
Na Jackson Jonathan

Katika siasa za sasa, CHADEMA kimeonekana zaidi kama chama cha mitandaoni, kikitumia nguvu nyingi kwenye "Twitter" maarufu kama "X" kuliko uhalisia wa kisiasa.

Badala ya kuja na sera madhubuti, wamebobea katika porojo za mtandaoni, wakiamini kuwa "hashtag" ina uzito zaidi kuliko mikakati ya maendeleo.

Mazungumzo yao yamejaa "trending topics" badala ya mipango ya kumkomboa mwananchi wa kawaida.

Wanachojali zaidi ni "likes" na "retweets," wakipuuza changamoto halisi zinazowakabili wananchi.

Kwa upande mwingine, CCM, chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Hassan, wapo “site” wakitatua changamoto za wananchi moja kwa moja.

Wakati wapinzani wakiendelea na mijadala ya mitandaoni, Dkt. Samia ameongoza chama na serikali yake kwa kuhakikisha wanajikita kwenye kutatua kero za msingi zinazowakabili wananchi kila siku.

Soma Pia: Prof. Kitila Mkumbo: Wapinzani Wanauza Malalamiko, CCM inauza Mafanikio

Kuanzia kuboresha huduma za afya, elimu, mpaka miundombinu, Rais Samia yupo mstari wa mbele kuhakikisha kuwa maendeleo yanapatikana kupitia vitendo na si maneno.

Wakati CHADEMA wanasubiri "mention" mpya, CCM ipo kazini, ikisikiliza, kujibu, Kupokea na kutatua mahitaji ya wananchi kwa vitendo, si kwa "tweets."
Wapo site usiku mbona mchana hawaonekani ama wao sii wa kawaida.?
 
Mimi sio mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, na wala sio social scientist bali nipo kwenye natural sciences. Kwa mujibu wa research nazofanya mojawapo ni qualitative ambayo haihitaji empirical data, tunapata conclusions kwa human perceptions, feelings, thoughts, says, mitazamo, mazungumzo, reactions, nk nk.

Kwa ujumla utafiti wangu usio rasmi qualitatively, naona Chadema ni lidude moja kubwa mno na linalotisha sana kwa kutazama namna reactions, na qualitative data zilizopo humu JF, radioni, social media zingine, TV, blogs, Polisi, jeshini, mitaani, magengeni, chats, groups za chawas etc. hamna siku chadema haijatajwa mara 10 hadi 20! Kuanzia mama yao/yetu akilala, akiamka, akiongea, akiwaza, chadema inazunguka kichwani kwake, makondeko kule kwa landrover kila akiamka, makalai kwenye mizunguko yake ya perdiem, joni nchambi, mcheza kiduku wa daslam, hapi, mkumbwa, cc yote ya ccm, machawa wazoefu na wapya kote mitandaoni, mwashamba, talalalah, choicevariable, yohana mbatizaji, na wengine lukuki. Polisi ndio wakisikia kuanzia kaka yao mkubwa anayevaa official dress na buti hata kwenye sherehe ikulu kama yupo vitani ndio wanapagawa kabisa na kuitana nchi nzima, na kuwasha mazimamoto yao ya kipigaji. Hili dude linawatisha sana kisaikolijia.

My conclusion kwa haya naona chadema sasa niifananishe na maji kwa kweli, yani ni lazima uyatumie tu ili uishi, kuna watu kwa kuitajataja tu wamepata uwaziri, ukuu wa wilaya, ukuu wa mikoa, ubunge, uchawa rasmi, ukatibu-kata na uenezi wa ccm, wengine wakapigwa na pesa, wengine ubalozi, wengine ucovid-19 sasa hii si sawa na maji tu wandugu??

Yani utake usitake utayanywa, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utafulia, usipoyafulia utapikia, usipopikia utaoshea hata tongotongo. Ili tumbo lako lisitirike kwa sasa we andika, taja, waza, ongea kuhusu chadema, ukiongelea mwengine unafutika tu kama upepo. Relavance yako itakuja kwa kusema chademaaaaa, chademaaaa hata kama huna logic km mwashamba.

Yani kuna watu wasipotaja chadema wanapotea so ili wawe relevant lazima kila siku waje na uzi kuhusu chadema tu, gosh!! Wengine hata spelling hawajui lkn chadema ipo midomoni mwao kutwa kucha.

No offence hii ni perception ya jamii ya watanzania kuanzia mama yetu shuka chini hadi kwa machawa wa level za chini kbs kama hapa nilipo cholesamvula. 😀😎😕😛
 
Katibu mkuu wao anailaumu CCM na TAMISEMI kwa kutowahamasisha wanachadema kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.
 
Katibu mkuu wao anailaumu CCM na TAMISEMI kwa kutowahamasisha wanachadema kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.
Huko Simiyu ni balaa, Mwenyekiti wa Chadema wa wilaya, katibu na wanachama zaidi ya 60 wamejiunga CCM na kufunga kabisa ofisi ya Chadema wilaya.

Wakati wanapokelewa na katibu Mkuu wa CCM Dk. Emmanuel Nchimbi wameeleza kwamba sababu inayowafanya waiache chadema ni uongozi uliokosa maono, rushwa husasan ya ngono, wizi wa rasilimali za chama na migogoro ya muda mrefu ndani ya Chama hicho.

Suluhisho la matatizo hayo yote ni Chama cha Mapinduzi (CCM).
 
Wakishindwa kwenye uchaguzi wanaanza kulalama wameibiwa kura.
Wakati wenzao wanajiandaa na Uchaguzi wapo wapo bize Twitter kutafuta likes, comments na trending. Hakuna Chama cha hovyo kama Chadema Duniani kote.
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
Ingekuwa hivyo tungeona tume huru ya uchaguzi.
Na Jackson Jonathan

Katika siasa za sasa, CHADEMA kimeonekana zaidi kama chama cha mitandaoni, kikitumia nguvu nyingi kwenye "Twitter" maarufu kama "X" kuliko uhalisia wa kisiasa.

Badala ya kuja na sera madhubuti, wamebobea katika porojo za mtandaoni, wakiamini kuwa "hashtag" ina uzito zaidi kuliko mikakati ya maendeleo.

Mazungumzo yao yamejaa "trending topics" badala ya mipango ya kumkomboa mwananchi wa kawaida.

Wanachojali zaidi ni "likes" na "retweets," wakipuuza changamoto halisi zinazowakabili wananchi.

Kwa upande mwingine, CCM, chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Hassan, wapo “site” wakitatua changamoto za wananchi moja kwa moja.

Wakati wapinzani wakiendelea na mijadala ya mitandaoni, Dkt. Samia ameongoza chama na serikali yake kwa kuhakikisha wanajikita kwenye kutatua kero za msingi zinazowakabili wananchi kila siku.

Soma Pia: Prof. Kitila Mkumbo: Wapinzani Wanauza Malalamiko, CCM inauza Mafanikio

Kuanzia kuboresha huduma za afya, elimu, mpaka miundombinu, Rais Samia yupo mstari wa mbele kuhakikisha kuwa maendeleo yanapatikana kupitia vitendo na si maneno.

Wakati CHADEMA wanasubiri "mention" mpya, CCM ipo kazini, ikisikiliza, kujibu, Kupokea na kutatua mahitaji ya wananchi kwa vitendo, si kwa "tweets."
 
Hivi UWT kwa siku huwa mnapewa shs ngapi kuja kuandika huu ujinga wenu?
Unadhani UWT wanalipwa kuchoma vitenge kama BAWACHA? Huku watu wanaamini katika kujitolea kukijenga chama na sio mtu, kama ilivyo CHADEMA. Mnajitoa sana kumjenga Mbowe kuliko Chama chenu.
 
Back
Top Bottom