Wakati CCM wanashangilia mabasi, CHADEMA wanatafakari nani anafaa kuwa kiongozi wao!!

Wakati CCM wanashangilia mabasi, CHADEMA wanatafakari nani anafaa kuwa kiongozi wao!!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Utofauti wa fikra na jinsi ya matumizi sahihi ya akili kati ya Wana CCM na CHADEMA, unazidi kudhihirika kadri siku zinavyozidi kwenda.

Wakati CHADEMA nchi nzima wako kwenye mijadala mizito ya nani anafaa kuwa kiongozi wao, CCM wamezama kwenye kushangilia mabasi yaliyobandikwa Stika za chama chao.

Kwa CCM mjadala ni mabasi, ila kwa CHADEMA mjadala ni nani kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe anapaswa kuwa Mwenyekiti wao.

Hapa ni kama walioko madarakani walipaswa kuwa nje ya madaraka, na walio nje ya madaraka ndiyo walistahili kuwepo madarakani.

Jokate anasifia yale mabasi honi zake sauti yake ni kama kinanda (just joking)😂
 
Kwani hujui kuwa mbasi ni maendeleo? Acha upofu banaaa...hata nyumbani kwkao ukinunua taa ya ndani unashangalia umeendelea.

Kuhusu uongozi kwani ccm ina uchaguzi Sasa? Viongozi wapo tayari kwao sio agenda kwa Sasa.

Hivi kweli chadema wanatafakari nani awe kiongozi au wanaparurana kulingana timu zao? Hawana hoja za msingi za kusimamia upande wai zaidi ya kuchafuana kwa mpizani.
 
Back
Top Bottom