Wakati CHADEMA wakidai Katiba Mpya ACT Wazalendo wanataka Tume Huru. Je, Zitto ni laghai wa kisiasa?

Wakati CHADEMA wakidai Katiba Mpya ACT Wazalendo wanataka Tume Huru. Je, Zitto ni laghai wa kisiasa?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Hivi ninyi watu mnaojiita wapinzani ni nani aliyewaroga?!

Kwanini hamuwezi kwenda na agenda moja yenye maslahi mapana kwa wananchi?

Agenda ya katiba mpya ni kilio cha muda mrefu kutoka Chadema na hakika wameendelea kupambana,kuitetea na kuisimamia kwa gharama kubwa!

Sasa ajabu la mwaka ni hicho cha Zitto baada ya kuona na pengine kushirikiana na Serikali kimeamua kiwe na agenda kinzani na wenzao kwa hoja mfu kabisa eti ni muhimu kuwe na Tume huru ya uchaguzi na ndiposa katiba mpya ifuate.

Ukichunguza kwa umakini ni wazi chama cha Zitto kinatumika kuhamisha agenda yenye mashiko ya Chadema kuhusu katiba mpya kwa maslahi ya Serikali iliyopo madarakani ya CCM.

Hivi Tume huru pasina kulindwa na katiba bora itafanikiwa vipi kutimiza majukumu yake?!

Je, Zitto si laghai la kisiasa linalojirahisi kutumika?!
 
Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!

Maana Tanzania uchaguzi ni mfumo sio tume tu.Nguvu ya Rais na wateule wake, polisi, TISS, Jeshi, Tume, Tamisemi na wengineo lazima viangaliwe kwa pamoja kupitia katiba mpya kwa kuwa wote hawa huwa ni sehemu ya chaguzi zetu.

Hiki kinachoitwa ni Tume huru ya uchaguzi ni changa la macho kwa wajinga ambao ndiyo wengi kwenye hii nchi.ACT wazalendo ni chama pandikizi cha CCM kwa ajili ya kuvuruga nguvu ya demokrasia hapa nchini.
 
Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!

Maana Tanzania uchaguzi ni mfumo sio tume tu.Nguvu ya Rais na wateule wake, polisi, TISS, Jeshi, Tume, Tamisemi na wengineo lazima viangaliwe kwa pamoja kupitia katiba mpya kwa kuwa wote hawa huwa ni sehemu ya chaguzi zetu.

Hiki kinachoitwa ni Tume huru ya uchaguzi ni changa la macho kwa wajinga ambao ndiyo wengi kwenye hii nchi.ACT wazalendo ni chama pandikizi cha CCM kwa ajili ya kuvuruga nguvu ya demokrasia hapa nchini.

"Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!"

Hiiiiii bagosha!
 
Hivi ninyi watu mnaojiita wapinzani ni nani aliyewaroga?!

Kwa nini hamuwezi kwenda na agenda moja yenye maslahi mapana kwa wananchi?

Agenda ya katiba mpya ni kilio cha muda mrefu kutoka Chadema na hakika wameendelea kupambana,kuitetea na kuisimamia kwa gharama kubwa!

Sasa ajabu la mwaka ni hicho cha Zitto baada ya kuona na pengine kushirikiana na Serikali kimeamua kiwe na agenda kinzani na wenzao kwa hoja mfu kabisa eti ni muhimu kuwe na Tume huru ya uchaguzi na ndiposa katiba mpya ifuate.

Ukichunguza kwa umakini ni wazi chama cha Zitto kinatumika kuhamisha agenda yenye mashiko ya Chadema kuhusu katiba mpya kwa maslahi ya Serikali iliyopo madarakani ya CCM.

Hivi Tume huru pasina kulindwa na katiba bora itafanikiwa vipi kutimiza majukumu yake?!

Je,Zitto si laghai la kisiasa linalojirahisi kutumika?!

Pichani mbele ya wanaomtuma anasomeka:

IMG_20220309_104731_713.jpg
 
Akifanya wengine sawa akifanya zitto laghai sijui aliwakosea nini Chadema.
Zitto ni kiongozi wa ACT, na ACT ina agenda zake tofauti na Chadema.
Ingekuwa zitto ndiye katoka gerezani kaenda Ikulu sijui mngesema nini
 
Tume huru itatotakana na katiba huru.

Kwenye katiba ndio mahali ambapo rais amepewa mamlaka makubwa ya kuteua 95% ya watu katika serikali yake.

Kwenye hiyo katiba ndio 95% ya mamlaka hayo imempa nguvu kuteua hadi mkurugenzi wa tume ambao wengi ni makada tiifu wa Lumumba mfano yule jaji kipenyo mwenyekiti wa tume na mwenzie yule hawa wote ni makada tiifu wa CCM.

Ambao wanaunga mkono matokeo ya urais kutohojiwa mahakamani ambayo ndio katiba inamlinda .

Kwahiyo CHADEMA wako sawa kabisa kuanzia na katiba mpya.
 
Akifanya wengine sawa akifanya zitto laghai sijui aliwakosea nini Chadema.
Zitto ni kiongozi wa ACT, na ACT ina agenda zake tofauti na Chadema.
Ingekuwa zitto ndiye katoka gerezani kaenda Ikulu sijui mngesema nini
Hawa watu akili zao sometimes wanazijua wenyewe! Mange akitukana maiti ya JPM wanashangilia na kumuita Dada wa Taifa!! Leo kamgusa mtu wao aliye mahututi wanasema hana ubinadamu, hafai, wanashinikiza TCRA waifungie App yake! Ni watu wa hovyo kweli kweli
 
Hivi ninyi watu mnaojiita wapinzani ni nani aliyewaroga?!

Kwanini hamuwezi kwenda na agenda moja yenye maslahi mapana kwa wananchi?

Agenda ya katiba mpya ni kilio cha muda mrefu kutoka Chadema na hakika wameendelea kupambana,kuitetea na kuisimamia kwa gharama kubwa!

Sasa ajabu la mwaka ni hicho cha Zitto baada ya kuona na pengine kushirikiana na Serikali kimeamua kiwe na agenda kinzani na wenzao kwa hoja mfu kabisa eti ni muhimu kuwe na Tume huru ya uchaguzi na ndiposa katiba mpya ifuate.

Ukichunguza kwa umakini ni wazi chama cha Zitto kinatumika kuhamisha agenda yenye mashiko ya Chadema kuhusu katiba mpya kwa maslahi ya Serikali iliyopo madarakani ya CCM.

Hivi Tume huru pasina kulindwa na katiba bora itafanikiwa vipi kutimiza majukumu yake?!

Je, Zitto si laghai la kisiasa linalojirahisi kutumika?!
Zitto anatumika na CCM
 
Je, Zitto si laghai la kisiasa linalojirahisi kutumika?!
Chadema msilazimishe Act icheze wimbo wenu,

Mbowe kutoka jela kaenda ikulu, je mbowe kaenda kumshukuru Raisi kwa kumsamehe au ni tapeli wa kisiasa?
 
Zitto kinatumika kuhamisha agenda yenye mashiko ya Chadema kuhusu katiba mpya kwa maslahi ya Serikali iliyopo madarakani ya CCM.
Ukichunguza kwa.makini utagundua Mbowe anatumika na ccm kwa malipo ya kutolewa gerezani. Kwanini aache agenda yenye mashiko ya Act.
 
Akifanya wengine sawa akifanya zitto laghai sijui aliwakosea nini Chadema.
Zitto ni kiongozi wa ACT, na ACT ina agenda zake tofauti na Chadema.
Ingekuwa zitto ndiye katoka gerezani kaenda Ikulu sijui mngesema nini
Jibu hoja, kati ya Tume ya uchaguzi na Katiba mpya kipi kianze.
 
Jibu hoja, kati ya Tume ya uchaguzi na Katiba mpya kipi kianze.
Hoja hapa sio tume ya uchaguzi na katiba. Hoja hapa ni zitto yeye kaamua kudai tume ya uchaguzi, je hilo linamfanya awe laghai?
Chadema wana vipaumbele vyao na ACT ina vipaumbele vyake ndio maana sio chama kimoja.
Kila kimoja kifanye siasa kwa maono yake.
 
Hoja hapa sio tume ya uchaguzi na katiba. Hoja hapa ni zitto yeye kaamua kudai tume ya uchaguzi, je hilo linamfanya awe laghai?
Chadema wana vipaumbele vyao na ACT ina vipaumbele vyake ndio maana sio chama kimoja.
Kila kimoja kifanye siasa kwa maono yake.
Anadai tume ya nini na wakati yupo kwenye SUKE
 
Akifanya wengine sawa akifanya zitto laghai sijui aliwakosea nini Chadema.
Zitto ni kiongozi wa ACT, na ACT ina agenda zake tofauti na Chadema.
Ingekuwa zitto ndiye katoka gerezani kaenda Ikulu sijui mngesema nini

Labda mavazi ndugu. Si unajua tena ndege wafananao?

IMG_20220310_121104_304.jpg
 
Back
Top Bottom