SawaHoja hapa sio tume ya uchaguzi na katiba. Hoja hapa ni zitto yeye kaamua kudai tume ya uchaguzi, je hilo linamfanya awe laghai?
Chadema wana vipaumbele vyao na ACT ina vipaumbele vyake ndio maana sio chama kimoja.
Kila kimoja kifanye siasa kwa maono yake.
Inawezekana ngoja nikamchunguze!!!Zitto kabwe kabla ya RIPOTI ya leo kuwasilishwa,iliyoshauri kuwa katiba mpya iwe baada ya uchaguzi w 2025, alijitoleza katika mitandao mingi na kikosi kazi chake alichokiunda na kusambaza hizo agenda ya kuwa katiba mpya sio Sasa mpaka baadae ila akaushauri Tume mpya ya uchaguzi ndo ianze.
Je kilichotokea leo zitto kwa maana ya mrema Alie changamka alitumwa kuja kutest hypothesis?
Uspoteze muda shekhe
Kila anachokisema Zitto kwa sasa anatumwa na HangayaZitto kabwe kabla ya RIPOTI ya leo kuwasilishwa,iliyoshauri kuwa katiba mpya iwe baada ya uchaguzi w 2025, alijitoleza katika mitandao mingi na kikosi kazi chake alichokiunda na kusambaza hizo agenda ya kuwa katiba mpya sio Sasa mpaka baadae ila akaushauri Tume mpya ya uchaguzi ndo ianze.
Je kilichotokea leo zitto kwa maana ya mrema Alie changamka alitumwa kuja kutest hypothesis?
🤣🤣🤣Mrema aliye?Zitto kabwe kabla ya RIPOTI ya leo kuwasilishwa,iliyoshauri kuwa katiba mpya iwe baada ya uchaguzi w 2025, alijitoleza katika mitandao mingi na kikosi kazi chake alichokiunda na kusambaza hizo agenda ya kuwa katiba mpya sio Sasa mpaka baadae ila akaushauri Tume mpya ya uchaguzi ndo ianze.
Je kilichotokea leo zitto kwa maana ya mrema Alie changamka alitumwa kuja kutest hypothesis?
Dogo kama ulikuwa hujuwi basi samahani, kijana Zitto alitoka kwenye choo cha umma (CCM) kimkakati ili awe anaua upinzani kama ilivyo kwa Mrema enzi zile ya miaka ya 90.Zitto kabwe kabla ya RIPOTI ya leo kuwasilishwa,iliyoshauri kuwa katiba mpya iwe baada ya uchaguzi w 2025, alijitoleza katika mitandao mingi na kikosi kazi chake alichokiunda na kusambaza hizo agenda ya kuwa katiba mpya sio Sasa mpaka baadae ila akaushauri Tume mpya ya uchaguzi ndo ianze.
Je kilichotokea leo zitto kwa maana ya mrema Alie changamka alitumwa kuja kutest hypothesis?