Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano

Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano wa chama.

Hii ni ofisi ya CCM Kata ya Manzese ambayo muonekano wake ni bora na yenye kuvutia.

Asante Dotto Magari kwa kututembelea na kuwaonesha watanzania namna ofisi za chama zinatakiwa kuwa.

#miaka48yaCCM
#chamalawana
#miminiCCM
#umojawetunguvuyetu

 
Wakati Chama Cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano wa chama.

Hii ni ofisi ya CCM Kata ya Manzese ambayo muonekano wake ni bora na yenye kuvutia.

Asante Dotto Magari kwa kututembelea na kuwaonesha watanzania namna ofisi za chama zinatakiwa kuwa.

#miaka48yaCCM
#chamalawana
#miminiCCM
#umojawetunguvuyetu

Ofisi za Serikali hizo.
 
Wakati Chama Cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano wa chama.🥺🤔😂😂😂
Duh... Hii kali sana
 
Back
Top Bottom