Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano wa chama.

Hii ni ofisi ya CCM Kata ya Manzese ambayo muonekano wake ni bora na yenye kuvutia.

Asante Dotto Magari kwa kututembelea na kuwaonesha watanzania namna ofisi za chama zinatakiwa kuwa.

#miaka48yaCCM
#chamalawana
#miminiCCM
#umojawetunguvuyetu

Your browser is not able to display this video.
 

Ofisi za Serikali hizo.
 
Wakati Chama Cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano wa chama.๐Ÿฅบ๐Ÿค”๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Duh... Hii kali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ