Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Hata hivyo serikali ya Kenya imelegeza masharti na kuruhusu zaidi ya wagonjwa 500 katika kaunti mbali mbali kurudi nyumbani japokuwa hawajapona ili wakajitibu wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya wamekufa 249 mpaka sasaVizuriiii pima pima pima pima pimaaa angalau tufike 5000 bila yakupima hatutojua idadi rasmi ,pia idadi ya vifo mbona hatuambiwi jamani angalau na waliokufa tungejulishwa ingependeza tungejua kama huu ugonjwa hatar
Angalau hii idadi ikiongezeka itasaidia kua funzo kwetu na kujua umuhimu wa NIMRKenya wamekufa 249 mpaka sasa
Wamekufa 112 hadi leo hii, acha uchawi wewe mdjibouti.Kenya wamekufa 249 mpaka sasa
Kenya Corona inawafaidisha na nini?Mna uelewa finyu kupindukia, protokali za kuwakubalia wagonjwa kurudi makwao ndio zimebadilika. Hii ni baada ya utafiti mpya kudhibitisha kwamba baada ya siku kumi wagonjwa(symptomatic na assymptomatic pia) hawawezi wakaambukiza mtu yeyote virusi vya COVID-19.
Matokeo ya utafiti huo yanazingatiwa kote duniani, ila hakuna mgonjwa anayeruhusiwa kurudi nyumbani kabla ya siku 14, maanake inahitajika siku tatu zingine za ziada, za uchunguzi wa afya ya wagonjwa(sanasana wale 'symptomatic'). Hivi ni vitu ambavyo kwenu sio rahisi kuvielewa, maanake mna bahati sana kwasababu Tanzania hakuna Corona. [emoji1] Criteria for releasing COVID-19 patients from isolation
Eti inatufaidi? Hivi unajua kweli Corona ni nini? Au unakariri tu ulichosikia wenzako wakisema?Kenya Corona inawafaidisha na nini?
Nyie ndio kingkaka akawaita wajinga nyinyiEti inatufaidi? Hivi unajua kweli Corona ni nini? Au unakariri tu ulichosikia wenzako wakisema?
Wakenya akili zao hawana tofauti na ile play station game ,hawajikubali na kuamini akili zao hata kidogo hawafanyi chochote bila kusubir wazungu wamezemaje tena wanamuamini mzungu %100 kuliko , mutachezeshwa Sana hii game kwa kua akili za watu wa huko zakitumwa cjui hicho kingereza bdio kilichowaaribu !! Hapo baada ya mwezi wazungu wakikuambieni mgonjwa akiambukizwa baada ya kupata kiba ikipita cku 5 anaweza rudi nyumban kwasababu baada ya cku tano anakua hawezi ambukiza teba mutaamin na mutafata .Huu ni ugonjwa wa kutengeneza hofu lakini hamna ugonjwa hapa hata maralia ni hatar zaidi kuliko Corona sema hii ni gemu inachezwa ili mupate hofi iwe lahisi kutawalika maana kila cku itabidi uishi kwa msaada tu.Mna uelewa finyu kupindukia, protokali za kuwakubalia wagonjwa kurudi makwao ndio zimebadilika. Hii ni baada ya utafiti mpya kudhibitisha kwamba baada ya siku kumi wagonjwa(symptomatic na assymptomatic pia) hawawezi wakaambukiza mtu yeyote virusi vya COVID-19. Matokeo ya utafiti huo yanazingatiwa kote duniani, ila hakuna mgonjwa anayeruhusiwa kurudi nyumbani kabla ya siku 14, maanake inahitajika siku tatu zingine za ziada, za uchunguzi wa afya ya wagonjwa(sanasana wale 'symptomatic').
Hivi ni vitu ambavyo kwenu sio rahisi kuvielewa, maanake mna bahati sana kwasababu Tanzania hakuna Corona. [emoji1] Criteria for releasing COVID-19 patients from isolation
Mtanyooka tu nyinyi ni suala la muda tuMna uelewa finyu kupindukia, protokali za kuwakubalia wagonjwa kurudi makwao ndio zimebadilika. Hii ni baada ya utafiti mpya kudhibitisha kwamba baada ya siku kumi wagonjwa(symptomatic na assymptomatic pia) hawawezi wakaambukiza mtu yeyote virusi vya COVID-19. Matokeo ya utafiti huo yanazingatiwa kote duniani, ila hakuna mgonjwa anayeruhusiwa kurudi nyumbani kabla ya siku 14, maanake inahitajika siku tatu zingine za ziada, za uchunguzi wa afya ya wagonjwa(sanasana wale 'symptomatic'). Hivi ni vitu ambavyo kwenu sio rahisi kuvielewa, maanake mna bahati sana kwasababu Tanzania hakuna Corona. [emoji1] Criteria for releasing COVID-19 patients from isolation
Pesa zenyewe zinapigwa na wajanja! Aliyewaita nyang’au hakukoseaUkweli ni kwamba kenya wanafanya biashara ya corona ndio maana hakuna juhudi zozote za kuzuia maambukizi. Na wana target yao ya kuifikia ili wapewe tena pesa maana wao kam wao wameshindwa kutengeneza pesa. Hili gonjwa kwa jirani zetu ni mtaji.
Miezi iliyopita walitabiriwa kuwa kufikia katikati ya Juni maambukizi yatafikia kati ya watu 250 hadi 270 kwa siku. So wanajaribu ku prove watabiri wapo right na hawafanyi jitihada ya kupunguza. Ni suala la kuuzunisha sana.
Ungelipiga hzo idadi hko bongo ingelikua vyema sana[emoji23][emoji23]Cannabis,
Hahahaha, wagonjwa 500 kuwaruhusu, kila mmoja akiambukiza wat watano, ndani ya wiki moja tutapata
500 * 5= 2500
Wiki ya PILI itakua
2500 x 5 = 12500
Hahahaha, Hahahaha