Mr the dragon JF-Expert Member Joined Apr 14, 2017 Posts 1,937 Reaction score 3,718 Feb 18, 2018 #21 Panya road walipelekea kukawa na "wanaume wa Dar" Tusubiri kuwasikia "wanaume wa Mbeya"
tatum JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 5,786 Reaction score 4,491 Feb 19, 2018 Thread starter #22 Chris14 said: Rais wa Mbeya ni nani? Na amepata vipi hayo mamlaka? Click to expand... Ni Sugu na ndivyo anavyoitwa huko Mbeya wewe nenda huko utakutana na raia wenye rais wao.
Chris14 said: Rais wa Mbeya ni nani? Na amepata vipi hayo mamlaka? Click to expand... Ni Sugu na ndivyo anavyoitwa huko Mbeya wewe nenda huko utakutana na raia wenye rais wao.
Victor Mlaki JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 4,151 Reaction score 4,277 Feb 19, 2018 #23 Vikundi haramu vinaanza namna hiyo na ni kutokana na kutoridhishwa na hali,fuatilia Alis habab ilivyoanza utaelewa
Vikundi haramu vinaanza namna hiyo na ni kutokana na kutoridhishwa na hali,fuatilia Alis habab ilivyoanza utaelewa
tatum JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 5,786 Reaction score 4,491 Feb 19, 2018 Thread starter #24 mlakimtoto said: Vikundi haramu vinaanza namna hiyo na ni kutokana na kutoridhishwa na hali,fuatilia Alis habab ilivyoanza utaelewa Click to expand... Kwa Tanzania ni ngumu sana kama unavyofikiri kuwa na vikundi kama huko DRC au Somalia.Hawa ni vibaka tu kama vibaka wengine ila wanatakiwa kudhibitiwa na kumalizwa tu.
mlakimtoto said: Vikundi haramu vinaanza namna hiyo na ni kutokana na kutoridhishwa na hali,fuatilia Alis habab ilivyoanza utaelewa Click to expand... Kwa Tanzania ni ngumu sana kama unavyofikiri kuwa na vikundi kama huko DRC au Somalia.Hawa ni vibaka tu kama vibaka wengine ila wanatakiwa kudhibitiwa na kumalizwa tu.
tatum JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 5,786 Reaction score 4,491 Mar 2, 2018 Thread starter #25
ni ngumu JF-Expert Member Joined Sep 25, 2016 Posts 4,292 Reaction score 7,197 Mar 2, 2018 #26 Wanasumbua sana hao hata uyole pale