Kweli adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenyewe, Kwanza walitapeliwa Mwana FA na AY. AY akaongea mpaka radioni kumtusi Victor Dj rule kuwa aliwatapeli show yao Birmingham then TID tukamsikia kwenye facebook hawa wachache then Diamond juzi kati alisema kwenye IG yake kutapeliwa na Victor. Kiba ndo usiseme yeye huwa anapigishwa sound tu lakini cha kushangaza Kiba na huyo huyo Mwana FA bado wanakuja kufanya show na huyu huyu Victor Dj Rule.
Haya inasemekana Kiba alizaa watoto kipindi anakuja kufanya show na huyu bwana victor sasa sijui yeye anachanganya biashara na urafiki maana watu wa karibu wanasema Kiba huwa halipwi ila yeye husamehe tu.
Kweli nimeamini wasanii asilimia kubwa upeo mdogo.
Haya inasemekana Kiba alizaa watoto kipindi anakuja kufanya show na huyu bwana victor sasa sijui yeye anachanganya biashara na urafiki maana watu wa karibu wanasema Kiba huwa halipwi ila yeye husamehe tu.
Kweli nimeamini wasanii asilimia kubwa upeo mdogo.