GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kuna malalmiko, kuwa siku hizi bunge si bunge. Ni afadhali la miaka ya nyuma.
Kuna minong'ono, kuwa bunge la sasa ni mfano tu wa bunge, kwa maslahi ya watawala. Hata wengine wamediriki kutamani bunge livunjwe.
Kwani ni wakati gani bunge la Tz lilishawahi kuwa bunge?
Inasemekana, kuna wakati bunge lilipokuwa bunge, lilikuwa na uwezo wa kuitikisa Serikali hadi ishike adabu. Lilishawahi kumtoa machozi kiongozi mkubwa. Liliweza kumwajibisha mtu mkubwa bila kujali ukubwa wake. Hilo lilikuwa bunge, alau, inavyosemekana.
Inadaiwa, eti kwamba bunge la sasa lipo mfukoni mwa Serikali. Ndiyo maana, pamoja na kudaiwa kuwa bunge ni mhimili unaojitegenea, mkubwa wake hawezi kufurukuta mbele ya mwenyekiti wa mhimili uliojicjimbia zaidi. Haruhusiwi kuwa na mtazamo tofauti na WA Serikali.
Inasemekana, bunge ambalo ni chombo cha kutunga Sheria, lenyewe halifuati Sheria.
Malalmiko yamekuwa mengi sana, ya watu kudai kuwa bunge la sasa si bunge.
Swali: kama bunge la sasa si bunge, ni lini bunge lilikuwa bunge?
Kuna minong'ono, kuwa bunge la sasa ni mfano tu wa bunge, kwa maslahi ya watawala. Hata wengine wamediriki kutamani bunge livunjwe.
Kwani ni wakati gani bunge la Tz lilishawahi kuwa bunge?
Inasemekana, kuna wakati bunge lilipokuwa bunge, lilikuwa na uwezo wa kuitikisa Serikali hadi ishike adabu. Lilishawahi kumtoa machozi kiongozi mkubwa. Liliweza kumwajibisha mtu mkubwa bila kujali ukubwa wake. Hilo lilikuwa bunge, alau, inavyosemekana.
Inadaiwa, eti kwamba bunge la sasa lipo mfukoni mwa Serikali. Ndiyo maana, pamoja na kudaiwa kuwa bunge ni mhimili unaojitegenea, mkubwa wake hawezi kufurukuta mbele ya mwenyekiti wa mhimili uliojicjimbia zaidi. Haruhusiwi kuwa na mtazamo tofauti na WA Serikali.
Inasemekana, bunge ambalo ni chombo cha kutunga Sheria, lenyewe halifuati Sheria.
Malalmiko yamekuwa mengi sana, ya watu kudai kuwa bunge la sasa si bunge.
Swali: kama bunge la sasa si bunge, ni lini bunge lilikuwa bunge?