Wakati gani muafaka wa kuanza mahusiano mapya?

hata kama hakuna cha kubandika unabandika tu...........................kwa wanawake yawezekana ni sawa tu lakini kwa kidume lazima awe mwangalifu sana..............................sirachi 36:21
huu ndio mtihani nilionao sasa ..
 
mkuu tunalie on the same plane na mimi nafikiri ntapata mawazo mazuri hapa maana na kashida kama kako
ubarikiwe pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…