Kilenzi _Jr
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 301
- 1,110
NdioooooooooKuachana na mpenzi uliyetumai atakuwa mwenza wa maisha siyo jambo rahisi. Lakini vipi mahusiano yanapopitia mawimbi yasiyo na mwisho. Dharau, vipigo, kuvunjiana heshima au hata usaliti. Bila shaka ni sharti kuwe na mstari mwekundu kwenye mahusiano. Ama sivyo?
😂😂🙏unauliza jawabu?
Ndiooooooooo
Ko ni kuganda TU?Hakuna kuachana wewee
Mmh🤔Wakati ukiweza kifikiri kwa kichwa cha juu zaidi kuliko cha chini au moyo.
Ndio maana yake mkuuKo ni kuganda TU?
Hilo ndilo kosa la watu wengi wanakuaga hawapendi bali hutamani na matamanio yao yakiisha huanza kuleta tabu kwa waenza wao.so be careful in your relation wenda ulitamaniwaKuachana na mpenzi uliyetumai atakuwa mwenza wa maisha siyo jambo rahisi. Lakini vipi mahusiano yanapopitia mawimbi yasiyo na mwisho. Dharau, vipigo, kuvunjiana heshima au hata usaliti. Bila shaka ni sharti kuwe na mstari mwekundu kwenye mahusiano. Ama sivyo?
Kweli kabisa anHilo ndilo kosa la watu wengi wanakuaga hawapendi bali hutamani na matamanio yao yakiisha huanza kuleta tabu kwa waenza wao.so be careful in your relation wenda ulitamaniwa
RealTime will tell
Mmmmh ww ulisikia wapUondoke umwache na nanii?we subir apate wake kwanza afu ndo uage
Ndio maana yake mkuu
🤔Subiri subiri yakukute its seems uliyonayo hayajakutosha.