Wakati Greenfield ikiwa (RIP) kwa wenzetu. Congo wameanza pia ujenzi wa Terminal mpya

Wakati Greenfield ikiwa (RIP) kwa wenzetu. Congo wameanza pia ujenzi wa Terminal mpya

Nimeshangaa pia! Seems we are engaging total boneheads here. He can't grasp simple logic or the obvious but here 24/7 frothing on behalf of Tz. Sheer misery!
I can bet amepata DM kutoka kwa magufuli mwenyewe! ameagizwa arudishe vifaa vya kazi, haiwezekani analipwa kufanya propaganda kisha ana-display upumbavu namna hii na kuaibisha danganyika.
 
I can bet amepata DM kutoka kwa magufuli mwenyewe! ameagizwa arudishe vifaa vya kazi, haiwezekani analipwa kufanya propaganda kisha ana-display upumbavu namna hii na kuaibisha danganyika.
Endeleeni kushangaa hivyo hivyo.😀😀
 
I can bet amepata DM kutoka kwa magufuli mwenyewe! ameagizwa arudishe vifaa vya kazi, haiwezekani analipwa kufanya propaganda kisha ana-display upumbavu namna hii na kuaibisha danganyika.
Nakuona umeanza kulia😀😀 Kipi mbaya ??
 
Nakuona umeanza kulia😀😀 Kipi mbaya ??
nimekufungulia thread tupatane huko! naona wewe ndio kaweka vi emoji vya maumivu. sikuwachi hadi utii wewe refugee itakubidi urudi kambini.
 
yaani barani africa kama wewe si ethiopia au south africa....ufyate tu mdomo wako...
901e9a4f0aec46eba4aabccd39ccb190.jpg
ATCL iko wapi na lile tungi la changaa bombardier linachukua wiki moja kufika JNIA tena bila abiria?
 
nyie njaa vp mmeimaliza nasikia wingu la mvua ya locust liko njiani kuingia Kenya!




Sisi hata Locust zikila vyakula vyote bado tunaweza nunua chakula. Kwa hivyo sisi hatuna presha. Wacha locust zisherehekee.
 
Sisi hata Locust zikila vyakula vyote bado tunaweza nunua chakula. Kwa hivyo sisi hatuna presha. Wacha locust zisherehekee.
aaawapiii hamna hela hiyo ndo maana hupokea misaada ya chakula!
 
Hatujaomba misaada hiyo. Wao kwa mapenzi yao kwetu, wanatupa bila sisi kuomba.
Aawapii Uhuru huwaomba!
SHAME: Uhuru BEGGED Tiny Desert Botswana for Food Relief and Now they have DONATED Sorghum Meal to starving Kenyans
MARCH 20, 2017 9 COMMENTS

Share on FacebookTweet about this on TwitterShare on WhatsappShare on LinkedIn
The friendly country of Botswana has come to the aid of starving Kenyans in Baringo with donations of fortified sorghum. Bostwana said it gave the donations to respond to the call by President Uhuru for food donations to feed Kenyans facing hunger due to drought.
Below is the press release from Botswana.

PRESS RELEASE: GOVERNMENT OF BOTSWANA DONATES DROUGHT RELIEF SUPPLIES TO KENYA

The Government of the Republic of Botswana has donated food supplies to two Counties in Kenya to benefit communities adversely affected by the drought situation in Kenya.

The donation was in response to the appeal made by His Excellency Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya in February, 2017 for drought relief assistance to alleviate the impact of the severe drought that his country is currently experiencing.

The humanitarian donation included food supplies and fortified sorghum meal for infants worth approximately US$40,000.00 (Ksh 4,371,160.000).
The food relief supplies were handed over to the County authorities in Laikipia and Baringo on 17th and 18th March, 2017 by Botswana’s High Commissioner to Kenya, HE John Moreti.

The quantity of the donated supplies is expected to benefit approximately 1000 needy households/families in the two counties for at least one (1) month.
Botswana and Kenya enjoy friendly relations and bilateral cooperation anchored on strong government and people to people connections since Botswana attained independence in 1966.

The Government and people of the Republic of Botswana, who have benefited from the generosity and friendship of Kenya over the years are pleased to stand with the friendly Government and people of the Republic of Kenya at this time of need.



 
Hatujaomba misaada hiyo. Wao kwa mapenzi yao kwetu, wanatupa bila sisi kuomba.
Baada ya kuona mnakufa kwa njaa, unajua "conditions" za nchi kutoa " humanitarian assistance" kwa nchi nyingine?, lazima Kuwepo na " imminent threats" kwa binadamu, ni sawa katika mchezo wa " Boxing", pale refa anapojiridhisha kwamba bondia mmoja yupo katika hali ya hatari, hulazimika kusimamisha pambano bila hata kuombwa na bondia husika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aawapii Uhuru huwaomba!
SHAME: Uhuru BEGGED Tiny Desert Botswana for Food Relief and Now they have DONATED Sorghum Meal to starving Kenyans
MARCH 20, 2017 9 COMMENTS

Share on FacebookTweet about this on TwitterShare on WhatsappShare on LinkedIn
The friendly country of Botswana has come to the aid of starving Kenyans in Baringo with donations of fortified sorghum. Bostwana said it gave the donations to respond to the call by President Uhuru for food donations to feed Kenyans facing hunger due to drought.
Below is the press release from Botswana.

PRESS RELEASE: GOVERNMENT OF BOTSWANA DONATES DROUGHT RELIEF SUPPLIES TO KENYA

The Government of the Republic of Botswana has donated food supplies to two Counties in Kenya to benefit communities adversely affected by the drought situation in Kenya.

The donation was in response to the appeal made by His Excellency Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya in February, 2017 for drought relief assistance to alleviate the impact of the severe drought that his country is currently experiencing.

The humanitarian donation included food supplies and fortified sorghum meal for infants worth approximately US$40,000.00 (Ksh 4,371,160.000).
The food relief supplies were handed over to the County authorities in Laikipia and Baringo on 17th and 18th March, 2017 by Botswana’s High Commissioner to Kenya, HE John Moreti.

The quantity of the donated supplies is expected to benefit approximately 1000 needy households/families in the two counties for at least one (1) month.
Botswana and Kenya enjoy friendly relations and bilateral cooperation anchored on strong government and people to people connections since Botswana attained independence in 1966.

The Government and people of the Republic of Botswana, who have benefited from the generosity and friendship of Kenya over the years are pleased to stand with the friendly Government and people of the Republic of Kenya at this time of need.



cc. Tony254

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom