Safi sana,Get Angry, be inspired, it can be you.
hahaaaYa 2018 imetoka kuna wengine wana miliki na mimi nasubiri ya 68 plate September
Hiyo imeishapitwa na wakati
Subiri uione Velar first edition
Ama kweli nchi zetu bado masikini sana, Hivi mtu kununua gari inakuwa mjadala wa kitaifa??
Huyu mzee nadhani anaishi mbezi beach au maeneo ya huko along bagamoyo road. Sasa akina siye tuendelee kujificha chini ya ujinga wa Magu kabana wakati wenzio wanamiliki vyuma vya maana kama hiki cha mwaka 2017 Range Rover Velar, na kaitia private plate number.
Hahah jamaa alivyoona ametaitiwa,akarudisha mpira kwapani huyo CCM.Maneno ya kilaza Msando Alberto...Hahahaaa
Yule jamaa mshamba sana!I remember those days alizifumaga!
Kwahio mtu mmoja kununua RR ndio inabadili picha yote mtazamo wa kiuchumi wa nchi yetu?
Huyu mzee nadhani anaishi mbezi beach au maeneo ya huko along bagamoyo road. Sasa akina siye tuendelee kujificha chini ya ujinga wa Magu kabana wakati wenzio wanamiliki vyuma vya maana kama hiki cha mwaka 2017 Range Rover Velar, na kaitia private plate number.
Ingekuwa labda Exhaust Pipe yake inatema mbolea za kupandia choroko sawa.kwa hiyo hii inamsaidiaje mtanzania wa kawaida anaeishi kule kilema pofo?
Huyu mzee nadhani anaishi mbezi beach au maeneo ya huko along bagamoyo road. Sasa akina siye tuendelee kujificha chini ya ujinga wa Magu kabana wakati wenzio wanamiliki vyuma vya maana kama hiki cha mwaka 2017 Range Rover Velar, na kaitia private plate number.